naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,854
- 5,275
Huhitaji kwenda na changu wapo humo humo ndani masaa 24 tena ni kazi kama kazi nyingine, maana wametoka mikoa tofautiGesti zimerundikana mji mpya dodoma
Huhitaji kwenda na changu wapo humo humo ndani masaa 24 tena ni kazi kama kazi nyingine, maana wametoka mikoa tofautiGesti zimerundikana mji mpya dodoma
Mimi sio Mrangi ila nawajua vyema Warangi Kutoka kona zote za Kondoa ,chemba, haubi,Aneth,Pahi,Mnenia,Itundwi ,Mondo ,Simba, Chandama mpk kule Soya n.kMkuu unaongelea warangi? Unless we mlangi, Ila kama siyo hii number inaogopwa sana Tanzania kama hujui Leo nakujuza
Hapo sawaMimi sio Mrangi ila nawajua vyema Warangi Kutoka kona zote za Kondoa ,chemba, haubi,Aneth,Pahi,Mnenia,Itundwi ,Mondo ,Simba, Chandama mpk kule Soya n.k
Warangi hatari sana ni wale Weupe wa kondoa Kaskazini na Wa Farkwa wenye mchanganyiko na Wasandawe.
utapigwa ndere mpk usahau familia yako na vizaz vyako vyte ukiwagusa wale.
NIKIFURUSHI CHA UNVRERSITY OFFER.Dodoma usafiri wa bodaboda safi sana kila mahali ni sh 1,000 haijalishi umbali unatwanga tu
Mkuu hii hospital ni kubwa na inahudumia wagonjwa wengi Tanzania na hata kutoka nje ya nchiIna maana watu wengi wa huko ni watumiaji wa "majani"?!
Nilikuwa na maana mkorogoukorofi ni tabia ya mtu.haina uhusiamo wowote na Rangi ya ngozi yake.
Ahaaaa ohooo hapo sawa. Nilidhani ukorofi. Niwie radhi tafadhari.Nilikuwa na maana mkorogo
Sasa wewe mlevi ukiacha kazi utatoa wapi hela ya pombe?Kama ni hivyo bora niache kazi asee,mateso yote hayo?.!!
Na makande....angalia wapareKwani matatizo ya akili yanasababishwa na kula majani?
Cc: Eli79. Halafu yule mwenzako sio mpare kweli?Na makande....angalia wapare
Wewe ni mkulima wa Zabibu?Njoo ulime zabibu na alizeti acha kuogopa
Mkoa unaoongoza kwa wanawake kutumia mkorogo ukiacha Dar ni Bukoba kagera.Umesahau na mabinti wa kisandawe, pia 80% ya weupe Dodoma ni mkorogo, kama nasema muongo angalia masikio na mikono
Wanaitwa barabara ya vumbi hao wanawake wanaogopeka sana kaskazini kijana ukimpeleka kwa wazazi hawatakuelewa sijui Kwanini?Mkuu unaongelea warangi? Unless we mlangi, Ila kama siyo hii number inaogopwa sana Tanzania kama hujui Leo nakujuza
ukikosa kote nenda club laziz chips zipo hadi saa nane ucku.
Hapo mwisho "ndere" sijakuelewa mkuu.Mimi sio Mrangi ila nawajua vyema Warangi Kutoka kona zote za Kondoa ,chemba, haubi,Aneth,Pahi,Mnenia,Itundwi ,Mondo ,Simba, Chandama mpk kule Soya n.k
Warangi hatari sana ni wale Weupe wa kondoa Kaskazini na Wa Farkwa wenye mchanganyiko na Wasandawe.
utapigwa ndere mpk usahau familia yako na vizaz vyako vyte ukiwagusa wale.