shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,806
- 4,303
na wakumbuke kuwa kufika huko lazma ulowe vumbi kwa sanaJumamosi kama mpunga unaruhusu kuna nyama choma mnadani 88 au msalato
Bila kusahau maji yenye ladha ya chumvi
na wakumbuke kuwa kufika huko lazma ulowe vumbi kwa sanaJumamosi kama mpunga unaruhusu kuna nyama choma mnadani 88 au msalato
Bila kusahau maji yenye ladha ya chumvi
na wakumbuke kuwa kufika huko lazma ulowe vumbi kwa sana
hata iweje dodoma haiwez tokea ikawa sawa na dar..
washington ina miaka zaidi ya 300 toka usa wapate uhuru lakini haijaifikia new york..
kama umetembea kuiona dunia utanielewa kama ni wa hapa hapa endelea kubishana..
lagos na abuja, joberg au cape town na pretoria, mumbai na new delhi ni mifano hai kabisa
Dodoma hakuna mrundikano wa gesti kama Sinza au kwa wahaya Mwananyamala.
Ukiwa na hamu zako kama hujahamia na wife wako, jua utapiga nyeto usiku kucha mpaka umchubue Abdala kichwa wazi
Dodoma hakuna omba omba kama dsm. ..changamkia iyo fursa
wakiwa Dodoma ni raw material, wakiingia DSM wanageuka kuwa finished goodsDodoma hakuna omba omba kama dsm. ..changamkia iyo fursa
Hata 5,000 atakupa huku kanunaUmesema madada poa wa huko wapo very cheap kama bei gani vile?
Ina maana watu wengi wa huko ni watumiaji wa "majani"?!Dodoma ndio mkoa pekee kulikojengwa hospitali ya watu wenye matatizo ya akili.
Haaaaaaa supa ya pweza, Dom nyama ta nguruwe kibao kilo 6000 unakula tani yako.Mi nasubiri wanaume wa Dar wahamie Dom nije kuuza supu ya pweza!
Njoo ulime zabibu na alizeti acha kuogopaKama ni hivyo bora niache kazi asee,mateso yote hayo?.!!
Kwani matatizo ya akili yanasababishwa na kula majani?Ina maana watu wengi wa huko ni watumiaji wa "majani"?!
Umesahau na mabinti wa kisandawe, pia 80% ya weupe Dodoma ni mkorogo, kama nasema muongo angalia masikio na mikonoDodoma kuna Wanawake Weupe kutoka Kondoa hawa ni wapole ,wakarim na wasio wachoyo.
Pia kuna Wanawake Weusi Hawa ni wachapakazi sana.
Karibuni Dodoma
ukorofi ni tabia ya mtu.haina uhusiamo wowote na Rangi ya ngozi yake.Umesahau na mabinti wa kisandawe, pia 80% ya weupe Dodoma ni mkorofi, kama nasema muongo angalia masikio na mikono
Mkuu unaongelea warangi? Unless we mlangi, Ila kama siyo hii number inaogopwa sana Tanzania kama hujui Leo nakujuzaDodoma kuna Wanawake Weupe kutoka Kondoa hawa ni wapole ,wakarim na wasio wachoyo.
Pia kuna Wanawake Weusi Hawa ni wachapakazi sana.
Karibuni Dodoma
Hakuna hodi hodi za umbea, ukisikia hodi unakuja alikwa kuna shughuli jirani, kwa mf. Dua, arobaini na sadaka kwa dini zote, hatuombani chumvi wala majani, kila mtu na maisha yakeDodoma umeme haukatiki, na maji ni muda wote, hakuna biashara ya maji, yakikatika kwako basi jiandae kulia maana hakuna nyumba utakayouziwa maji, kina mtu na bomba lake labda uswahilini tu.
Dodoma hakuna joto kama Dar
Dodoma huruhusiwi kujenga nyumba bila kibari, nyumba yako itabomolewa fasta!
Dodoma ndani ya robo saa umefika kazini ukitokea eneo lolote la mji kwa daladala au private.
Dodoma majengo yenye lift yako UDOM na mengine hayazidi matano
mmejipanga...mwaka huuTunakuja, na hayo yote yatakuwa vice versa
mpaka sasa hichi kizazi kipya cha dotcom kishawaona miyeyushoMji wa Dodoma usipangwe kama wa Dsm kujaza ofisi zote sehemu moja kizazi kijacho kinaweza kuhisi wazee wao tulikuwa na upungufu wa nati kichwani kurudia kosa lililotukimbiza Dsm
Lakini wengi wao waliopo Dar wanatoka DodomaDodoma hakuna omba omba kama dsm. ..changamkia iyo fursa