kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,089
Huu uzi nilipoona tu title nikajua huyu ni Mshana mlozi
Huo mwanga usababishwa na nini?Kama hakuna backup huwa kasheshe... Kuna marehemu macho yao hutoa mwanga
Mmh nitakupigia dada.... Nahitaji kufahamu zaidi juu ya hili... Kwema lakini huko?Nilifiwa na nyanya yangu, tukapeleka maiti mochuari, kwa bahati nzuri mihudumu ni mtu wa pale mtaani.Akaweka kwenye box za mwanzo kabisa na lebo ya jina juu yake.
Kesho yake tulipokwenda ile maiti haikuonekana pale tulipoiweka imebadilishwa.Mhudumu akawa anavuta box mpk box mpk mwisho hatujaiona
Wakati tunarudi ile maiti yetu ikandondosha mkono, woote tukasema maiti yetu ile pale. Ni droo ya tatu tuu toka pale tulipoiacha.
Wenge la mle ndani siyo mchezo
Mmh nitakupigia dada.... Nahitaji kufahamu zaidi juu ya hili... Kwema lakini huko?
Kuna member anaulizia kuhusu masuala haya ya mochwari. Tunauweka Uzi wa Mshana Jr. ili aweze kupata majibu ya swali lake.
Mshana Jr kwa nini marehemu akifariki ni lazima wanaomdai/wanaodaiwa na marehemu lazima walipe/wamlipe madeni? Kuna madhara gani endapo hawatafanya hivyo?
Maiti wanaogopa kiza wanapiga keleleMochwari umeme ukikatika kunakuwaje?
Mama alifariki 2016. Kwenye kuumwa vidole viwili vya mguu wa kushoto vilikufa.
Alipozikwa, pale kaburini upande ule wa mguu ule wa vidole vigonjwa japo havikukatwa palititia.
Hii inaashiria nini?