Jospina
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,421
- 1,387
KARIBU BUKOBA
Mji uliobarikiwa na ni mji wenye maziwa na rubisi
1. Una mchanganyiko wa watumbalimbali kama waganda, wanyarwanda, waTZ etc
2. Una matunda ya kipekee kama kama vile amashasha, enkenena, entuntu, ebifakedo, enzilu etc
3. Una mboga za kipekee kama omulili, eibota, omutontozi, entura, entongo, omushokooro, enkeije etc
4. Una majina matamu ya asili kama kokwenda, kweyamba, mujuni, mwemezi, asimwe, begashe, kokushuubira etc
5. Pia una ngoma za asili kama omutoro, okwebuga, enchuma,amayaga, ect
6. Watu wake wana ushirikiano, upendo na huruma nyingi sana
HII NDO BUKOBA YETU KARIBUNI SANA
Mji uliobarikiwa na ni mji wenye maziwa na rubisi
1. Una mchanganyiko wa watumbalimbali kama waganda, wanyarwanda, waTZ etc
2. Una matunda ya kipekee kama kama vile amashasha, enkenena, entuntu, ebifakedo, enzilu etc
3. Una mboga za kipekee kama omulili, eibota, omutontozi, entura, entongo, omushokooro, enkeije etc
4. Una majina matamu ya asili kama kokwenda, kweyamba, mujuni, mwemezi, asimwe, begashe, kokushuubira etc
5. Pia una ngoma za asili kama omutoro, okwebuga, enchuma,amayaga, ect
6. Watu wake wana ushirikiano, upendo na huruma nyingi sana
HII NDO BUKOBA YETU KARIBUNI SANA