Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,471
- 46,002
Mkwawa, Kinjikitile, Isike, Mangungo, Mamangi wa kichaga, na wengine wengi katika sehemu kubwa iliyokuja kuwa Tanganyika hawakuwahi kuguswa na dini iliyoletwa na majahazi kutoka uarabuni.
Tanganyika na kabla ya hapo ilikuwa ni utawala wa Waislam ndio maana leo unaabudu kwa uhuru, upendacho. Jiulize ungeanza kwa utawala usio wa Kiislam ungekuawaje.-?
Hivi Hamuelewi kuwa Wazungu ndio walioleta Ukristo? Walipokuja walikuta tayari tawala zipo na zilikuwa za Waislam na wakakaribishwa.
Ni kipi kigumu kukifahamu hapo? Au historia unayosomesshwa uliambiwa Tanganyika na kabla ya kuitwa Tanganyika utawala ulikuwa wa nani? Msome Ibn Batuta aliekuja hapa kabla ya wengi na aliandika alichokikuta alikuta, alikuta nini na ilikuwa ni mwaka upi?