Kariakoo na Dar es Salaam: Wanahistoria tendeeni haki Historia za majina hayo

Faiza Foxy a.k.a mwarabu wa Tinde
Wala hapana shaka kabisa. Uarabu ni lugha na tamaduni, si rangi wala nywele wala kabila kama wengi wetu walivyojazwa ujinga.
Tafsiri yako ya "Kariakoo" sio tafsiri rasmi hivyo haiwezi kuwa sahihi kwa namna yeyote

Aidha umeshindwa kuweka vyanzo vya tafsiri yako ili uthibitishe usahihi ulichoandika na pia uthibitishe kuwa tafsiri ya sasa siyo sahihi


Inaweza kuwa sahihi kwa wale wanaoamini hivyo ili kuwafurahisha tu
Ipi ndio tafsiri sahihi unaayoikubali na wamekuwekea vyanzo vipi?

Hiyo ni tafsiri yangu na chanzo ni mi binafsi na nimeaandika wazi kuwa hiyo ni tafiti yangu.

Kama hiyo haitoshi nimekuwekea maana za neno Bandar na maana za neno Dar na zinapotokea wapi, pia nimekuwekea na aya za Qur'an urejee.


Ukipenda tafsiri ya tafiti yangu ipokee, hukuipenda leta ytafsiri yako unayoikubali na uweke ushahidi wa ulipotoa na huyo aliyeiatafsiri Kariakoo au Dar Es Salaam katoa wapi usahihi wa maana halisi ya maneno hayo.

Hutoweza kupata tafsiri iliyonyooka na yenye vielelezo (kuhusiana na jina Dra Es Salaam na Kariakoo) kama hii yangu. Nnakupa challenge.
 
Un, kwenye upande wa 'kariakoo' unashindwa kueleweka, yaani mtafiti mwenyewe hauna uhakika unatuambia ' inaweza kuwa'. inamaanisha hata wewe huna uhakika.

De, Tafiti yako haitaji wala kuweka uthibitisho ni kwanini asili ya neno 'kariakoo' sio carrier corps, sana sana umeweka hisia zako kwa kuwa kijijj cha kariakoo kilikuwa na watu wengi early 1900's.
 
Tafiti ndogo tu, yangu binafsi na isiyo na shaka kabisa niliyoifanya kuhusu jina la jiji letu kuu "Dar Es Salaam" na jina la soko letu kuu "Kariakoo" ninaihitimisha kwa ufupi (summary) hapa chini kwa kusema wanahistoria hususan wa hapa Tanzania hawayatendei haki hayo majina kwa kutuaminisha maana ya majina hayo isiyo halisi na isyo ya kweli.

Dar Es Salaam

Kila ninapokutana na maan ya jina Dar Es Salaam naona makosa ya wazi kabisa au ya wanaotoa maana kutokufanya tafiti japo kidogo au kuwaamini sana wanahistoria ambao au wao kuwaamini waliowafundisha au waliyoyasoma bila kuyanyia tafiti na kuiamini tu maana inayotolewa. Au ni makusudi inafanyika ili kuifuta maana hali ya jina hilo na lilipoanzia kihistoria.

Mara nyingi, kama si zote, tumeaminishwa kuwa maana ya neno Dar Es Salaa ni "bandari ya Salama", na wanatuaminisha kuwa historia yake ni Waarabu waliotoa jina hilo kutokana na kuwepo bandari hapo Dar Es Salaam. Huo tunaoaminishwa sio ukweli.

Ukweli ni kuwa neno Bandari halimaanishi bandari kwa Kiarabu bali neno Bandar ni neno la Kiajemi (Persia) linalomaanisha bandari. Na ipo miji maarufu ya Kiajemi (Persia) yenye jina hilo.

Jina Dar Es Salaam halina neno "Bandar" la Persia au Kiarabu hata maana yake iwe ni "Bandari". Jina hilo lina neno la Kiarabu"Dar" linalomaanisha Nyumba au "dari" kwa maana "haven". Kwa akirefu chake ni Dar Es Salaam ni Nyumba ya Amani au vile vile Dar Es Salaam ni "haven of Peace". Ambayo ni maana halisi ya jina la lililokuja kuwa jiji letu pendwa.

Neno Dar Es Salaam linatokana na neno la Kiarabu fasaha "Dar Us Salaam" linalopatikana ndani ya Qur'an Tukufu, utalipata katika sura ya 10 aya ya 25 na sura ya 6 aya ya 127 likimaanisha jina la pepo (Abode or Haven of Peace).

Kwa maana hizo, jina la jiji letu la Dar Es Salaam lilianzia kilipojengwa chuo cha kwanza cha Kiislam (Madrassa) hapo ilipo sasa Ikulu ya Dar na jengo hilo la la chuo hicho ndio likaitwa Dar Us Salaam (Nyumba ya amani) na ilipo Hospitali ya Ocean Road ndipo palikuwa mabweni ya chuo hicho. Mjerumani ndiye akja kukifanya chuo hicho kuwa nyumba ya gavana baada ya kukitengeneza upya lakini aliacha mjengo ule ule wa asili kwa kiwango kikubwa. Athari za majengo ya Kiarabu na Kiislaam kwenye Ikulu yetu ipo mpaka leo. Haipingiki kwa aijuae Ikulu hiyo.

kama hiyo haitoshi, pia kuna nchi, Brunei, jina la jiji lake linaitwa Dar us salaam kama jiji letu Dar Es Salaam, lakini kwenye jiji hilo hilo bandari yake inatwa Bandar Seri Begawan. Hiyo inaonessha tofauti iliyopo katika maana ya maneno "Bandar" na "Dar".


Baadhi ya miji yenye jina hilo na maana yake ikielezewa Kiingereza...

From Wikipedia, the free encyclopedia






Jump to navigation Jump to search
Darussalam (Arabic: دار السلام) is an Arabic word which means "abode of peace" and is the name of one of the layers of Jannah (Paradise in Islam). It may refer to:

Post ijayo ntawaletea maana ya jina Kariakoo.
Dar es salaam hujulikana kama "Heaven of Peace" hiyo inajulikana sana na imeandikwa sehemu nyingi mno.

Bandar means port, port city or city by the sea kwa kiarabu; Hata mji ulio pembeni ya bahari huitwa Bandar lexchangeably kwa sababu miji mingi iliyo pembeni mwa bahari hutokana na bandari. Kwa hiyo siyo kosa kuita huu mji bandari ya salama.

"Carrier Corps" ni kikosi maalum cha wabeba mizigo wa KAR na hata Nairobi kuna kariakor, Dar es salaam pia kutokana na makaazi au kambi za vikosi hivyo. Babu yangu mzaa upande wa baba yangu alikuwa KAR na alipewa space mtaa wa Muheza waliporudi kutoka Sri Lanka (mwenyewe alipaita Ceylon) na alikuwa karibu na kea wenzake wengi.
Kikosi hiki kilikuwepo hata kenya. Kariakoo jina limetokana na waingereza.
 
Dar es salaam hujulikana kama "Heaven of Peace" hiyo inajulikana sana na imeandikwa sehemu nyingi mno.

Bandar means port, port city or city by the sea kwa kiarabu; Hata mji ulio pembeni ya bahari huitwa Bandar lexchangeably kwa sababu miji mingi iliyo pembeni mwa bahari hutokana na bandari. Kwa hiyo siyo kosa kuita huu mji bandari ya salama.

"Carrier Corps" ni kikosi maalum cha wabeba mizigo wa KAR na hata Nairobi kuna kariakor, Dar es salaam pia kutokana na makaazi au kambi za vikosi hivyo. Babu yangu mzaa upande wa baba yangu alikuwa KAR na alipewa space mtaa wa Muheza waliporudi kutoka Sri Lanka (mwenyewe alipaita Ceylon) na alikuwa karibu na kea wenzake wengi.
Kikosi hiki kilikuwepo hata kenya. Kariakoo jina limetokana na waingereza.
Ukifanya tafiti utaona Karia kuu (kijiji kikuu) au Karia kulu (kijiji cha wote) ilikuwepo kabla ya Mwingereza wala Mjerumani kuja.

Sio "heaven" kama ulivyoandika, ni "Haven of peace" au "Abode of Peace"

Majimshindo unapajua?
 
Tafiti ndogo tu, yangu binafsi na isiyo na shaka kabisa niliyoifanya kuhusu jina la jiji letu kuu "Dar Es Salaam" na jina la soko letu kuu "Kariakoo" ninaihitimisha kwa ufupi (summary) hapa chini kwa kusema wanahistoria hususan wa hapa Tanzania hawayatendei haki hayo majina kwa kutuaminisha maana ya majina hayo isiyo halisi na isyo ya kweli.

Dar Es Salaam

Kila ninapokutana na maan ya jina Dar Es Salaam naona makosa ya wazi kabisa au ya wanaotoa maana kutokufanya tafiti japo kidogo au kuwaamini sana wanahistoria ambao au wao kuwaamini waliowafundisha au waliyoyasoma bila kuyanyia tafiti na kuiamini tu maana inayotolewa. Au ni makusudi inafanyika ili kuifuta maana hali ya jina hilo na lilipoanzia kihistoria.

Mara nyingi, kama si zote, tumeaminishwa kuwa maana ya neno Dar Es Salaa ni "bandari ya Salama", na wanatuaminisha kuwa historia yake ni Waarabu waliotoa jina hilo kutokana na kuwepo bandari hapo Dar Es Salaam. Huo tunaoaminishwa sio ukweli.

Ukweli ni kuwa neno Bandari halimaanishi bandari kwa Kiarabu bali neno Bandar ni neno la Kiajemi (Persia) linalomaanisha bandari. Na ipo miji maarufu ya Kiajemi (Persia) yenye jina hilo.

Jina Dar Es Salaam halina neno "Bandar" la Persia au Kiarabu hata maana yake iwe ni "Bandari". Jina hilo lina neno la Kiarabu"Dar" linalomaanisha Nyumba au "dari" kwa maana "haven". Kwa akirefu chake ni Dar Es Salaam ni Nyumba ya Amani au vile vile Dar Es Salaam ni "haven of Peace". Ambayo ni maana halisi ya jina la lililokuja kuwa jiji letu pendwa.

Neno Dar Es Salaam linatokana na neno la Kiarabu fasaha "Dar Us Salaam" linalopatikana ndani ya Qur'an Tukufu, utalipata katika sura ya 10 aya ya 25 na sura ya 6 aya ya 127 likimaanisha jina la pepo (Abode or Haven of Peace).

Kwa maana hizo, jina la jiji letu la Dar Es Salaam lilianzia kilipojengwa chuo cha kwanza cha Kiislam (Madrassa) hapo ilipo sasa Ikulu ya Dar na jengo hilo la la chuo hicho ndio likaitwa Dar Us Salaam (Nyumba ya amani) na ilipo Hospitali ya Ocean Road ndipo palikuwa mabweni ya chuo hicho. Mjerumani ndiye akja kukifanya chuo hicho kuwa nyumba ya gavana baada ya kukitengeneza upya lakini aliacha mjengo ule ule wa asili kwa kiwango kikubwa. Athari za majengo ya Kiarabu na Kiislaam kwenye Ikulu yetu ipo mpaka leo. Haipingiki kwa aijuae Ikulu hiyo.

kama hiyo haitoshi, pia kuna nchi, Brunei, jina la jiji lake linaitwa Dar us salaam kama jiji letu Dar Es Salaam, lakini kwenye jiji hilo hilo bandari yake inatwa Bandar Seri Begawan. Hiyo inaonessha tofauti iliyopo katika maana ya maneno "Bandar" na "Dar".


Baadhi ya miji yenye jina hilo na maana yake ikielezewa Kiingereza...

From Wikipedia, the free encyclopedia






Jump to navigation Jump to search
Darussalam (Arabic: دار السلام) is an Arabic word which means "abode of peace" and is the name of one of the layers of Jannah (Paradise in Islam). It may refer to:

Post ijayo ntawaletea maana ya jina Kariakoo.
Dar es salaam hujulikana kama "Heaven of Peace" hiyo inajulikana sana na imeandikwa sehemu nyingi mno.

Bandar means port, port city or city by the sea kwa kiarabu; Hata mji ulio pembeni ya bahari huitwa Bandar lexchangeably kwa sababu miji mingi iliyo pembeni mwa bahari hutokana na bandari. Kwa hiyo siyo kosa kuita huu mji bandari ya salama.

"Carrier Corps" ni kikosi maalum cha wabeba mizigo wa KAR na hata Nairobi kuna kariakor, Dar es salaam pia kutokana na makaazi au kambi za vikosi hivyo. Babu yangu mzaa upande wa baba yangu alikuwa KAR na alipewa space mtaa wa Muheza waliporudi kutoka Sri Lanka (mwenyewe alipaita Ceylon) na alikuwa karibu na kea wenzake wengi.
Kikosi hiki kilikuwepo hata kenya. Kariakoo jina limetokana na waingereza.
Majimshindo unapajua?
Nope
 
Dar es salaam hujulikana kama "Heaven of Peace" hiyo inajulikana sana na imeandikwa sehemu nyingi mno.

Bandar means port, port city or city by the sea kwa kiarabu; Hata mji ulio pembeni ya bahari huitwa Bandar lexchangeably kwa sababu miji mingi iliyo pembeni mwa bahari hutokana na bandari. Kwa hiyo siyo kosa kuita huu mji bandari ya salama.

"Carrier Corps" ni kikosi maalum cha wabeba mizigo wa KAR na hata Nairobi kuna kariakor, Dar es salaam pia kutokana na makaazi au kambi za vikosi hivyo. Babu yangu mzaa upande wa baba yangu alikuwa KAR na alipewa space mtaa wa Muheza waliporudi kutoka Sri Lanka (mwenyewe alipaita Ceylon) na alikuwa karibu na kea wenzake wengi.
Kikosi hiki kilikuwepo hata kenya. Kariakoo jina limetokana na waingereza.

Nope


Una mengi sana ya kujifunza kuhusu Jiji la Dar. Tuulize wenye asili napo tukujuze.


Ni uvivu wa kufikiri tu kuamini kuwa eti wapagazi ni "carrier corps" wakati wapagazi kwa Kiingereza ni "Potters" hadi leo hii wapo wanaobeba mizigo na watu wasiojiweza Kiafya wanaopanda Mlima Kilimanjaro, wanaitwa Potters.

Kariakoo ni Karia kuu kiasili ikimaanisha Kijiji kikubwa au kijiji cha wote. Wajerumani wamekikuta, Waingereza wamekikuta. Kuna historia ukiisoma, kazi kwako, utakuta katika 1900's Kariakuu tayari ilikuwa na wakazi 24000. Haya nambie kulikuwa na Muingereza hapa na hao KAR wako?

Unakuja kupinga tafiti wangu kwa yale yale niliyoyapangua mimi? Unanchekesha.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?


kaisome tena post yangu uliyoijibu kimihemko. Nimeweka references chache nilizotumia na hazipingiki.
 
Una mengi sana ya kujifunza kuhusu Jiji la Dar. Tuulize wenye asili napo tukujuze.


Ni uvivu wa kufikiri tu kuamini kuwa eti wapagazi ni "carrier corps" wakati wapagazi kwa Kiingereza ni "Potters" hadi leo hii wapo wanaobeba mizigo na watu wasiojiweza Kiafya wanaopanda Mlima Kilimanjaro, wanaitwa Potters.

Kariakoo ni Karia kuu kiasili ikimaanisha Kijiji kikubwa au kijiji cha wote. Wajerumani wamekikuta, Waingereza wamekikuta. Kuna historia ukiisoma, kazi kwako, utakuta katika 1900's Kariakuu tayari ilikuwa na wakazi 24000. Haya nambie kulikuwa na Muingereza hapa na hao KAR wako?

Unakuja kupinga tafiti wangu kwa yale yale niliyoyapangua mimi? Unanchekesha.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?


kaisome tena post yangu uliyoijibu kimihemko. Nimeweka references chache nilizotumia na hazipingiki.
Shikamooo

Ova
 
Hivi Tanganyika ingeanza kutawalia na Waislamu asingekuwa nchi ya Aina gani???

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Tanganyika na kabla ya hapo ilikuwa ni utawala wa Waislam ndio maana leo unaabudu kwa uhuru, upendacho. Jiulize ungeanza kwa utawala usio wa Kiislam ungekuawaje.-?

Hivi Hamuelewi kuwa Wazungu ndio walioleta Ukristo? Walipokuja walikuta tayari tawala zipo na zilikuwa za Waislam na wakakaribishwa.

Ni kipi kigumu kukifahamu hapo? Au historia unayosomesshwa uliambiwa Tanganyika na kabla ya kuitwa Tanganyika utawala ulikuwa wa nani? Msome Ibn Batuta aliekuja hapa kabla ya wengi na aliandika alichokikuta alikuta, alikuta nini na ilikuwa ni mwaka upi?
 
Tanganyika na kabla ya hapo ilikuwa ni utawala wa Waislam ndio maana leo unaabudu kwa uhuru, upendacho. Jiulize ungeanza kwa utawala usio wa Kiislam ungekuawaje.-?

Hivi Hamuelewi kuwa Wazungu ndio walioleta Ukristo? Walipokuja walikuta tayari tawala zipo na zilikuwa za Waislam na wakakaribishwa.

Ni kipi kigumu kukifahamu hapo? Au historia unayosomesshwa uliambiwa Tanganyika na kabla ya kuitwa Tanganyika utawala ulikuwa wa nani? Msome Ibn Batuta aliekuja hapa kabla ya wengi na aliandika alichokikuta alikuta, alikuta nini na ilikuwa ni mwaka upi?
O sawa !je uislam waliuleta nani tanganyika?

Ova
 
Dar Es Salaam.
Ukweli ni kuwa neno Bandari halimaanishi bandari kwa Kiarabu bali neno Bandar ni neno la Kiajemi (Persia) linalomaanisha bandari. Na ipo miji maarufu ya Kiajemi (Persia) yenye jina hilo.

Jina Dar Es Salaam halina neno "Bandar" la Persia au Kiarabu hata maana yake iwe ni "Bandari". Jina hilo lina neno la Kiarabu"Dar" linalomaanisha Nyumba au "dari" kwa maana "haven". Kwa akirefu chake ni Dar Es Salaam ni Nyumba ya Amani au vile vile Dar Es Salaam ni "haven of Peace". Ambayo ni maana halisi ya jina la lililokuja kuwa jiji letu pendwa.
Logical
 
Kajifunze historia katika mfumo secular wa elimu badala ya madrasa.
Kila kinachohusiana na Uislam kinapotoshwa kwa makusudi kwenye historia Hata Kiswahili sanifu ni zao la chuki hizo. Kiswahili fasaha kinabadilishwa mbele ya macho yetu.

Hata Historia ya utumwa imepotoshwa kuonesha kuwa mzungu ndio bingwa aliyekuja kuondosha utumwa wakati ni kinyume chake.

Ni mengi sana tafiti yangu sana yaliopotoshwa kihistoria, kimaana na kiuhalisia inayaibua. Mengine ni kuwa hayjaandikwa tu maana yake na si kuwa yote yanapotoshwa kwa makusudi.Mpaka sasa sijaiweka kikamilifu kwani kuna topics nyingi sana. In shaa Allah nikipata wasaa nitaingia deeper kwenye kila topic.
 

Similar Discussions

22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom