Watu wa Dar mna nyoyo za kuringishiana sana ndo maana hapo wengine utakuta wamekopa hizo pesa za maandaliz ya sikukuu.Ukweli hali n ngumu sis wengi wa mikoan tukipata ugal na dagaa na nguo zetu za zaman tunasema inshallah sikukuu inapita
Nilijua umetokea nyakato, bila shaka utakuwa umetokea kolomijeMakoroboi pamefurika
Huko mbali naishia huku town tu
Nilijua umetokea nyakato, bila shaka utakuwa umetokea kolomije
Napita hapo saa ivi kufuturuKayenze huku