Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,353
- 81,760
Dawa ya Kagere tumeshaitambua! Ni kumvua tu yale mahirizi yake, kwisha habari! Mwenyewe anaomba Sub! Kuna baadhi ya mbumbumbu wanasema eti ile ni rozali, mara msalaba wa Yesu, nk!
Wamesahau Meddie Kagere ni Mswahilina na pia ni mtu wa swala tano kwa siku! Sasa rozali na yeye wapi na wapi!
Wamesahau Meddie Kagere ni Mswahilina na pia ni mtu wa swala tano kwa siku! Sasa rozali na yeye wapi na wapi!