OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,095
- 103,341
Kabumbu saafi ya kiwango ikipigwa na Mnyama. Jiulize Yanga itaweza?
Picha la kukera
Yanga imebaki kuwa timu kongwe tu na sio timu kubwa.
Yeah yanga ndo wakongwe kwenye hizi mambo na kwa sasa wana pesa ya kuwekeza huko so simba kupona ni ngumu mnoMkuu siku zote Simba tunajua tuna cheza na mkubwa mwenzetu! Mpira hawana lkn kamati ya ufundi wa kijadi wako vizuri..
Mbona singasinga umekazania sana hili suala? una uhakika gani ndugu? achana na maneno ya vijiweni mpira ni mchezo wa wazi dk 90 ndio kila kitu!MIMI KAMA MDAU WA SOKA LA HAPA TZ NNA MAONI YAFUATAYO
Yanga wakiwa na pesa ya kutosha kuwekeza nje ya uwanja simba kupata matokeo huwa ni ngumu sana,naona kabisa dalili za mnyama kufa tena.
Ukweli mchungu
Nimeshaona kaka nnachofanya ni kuwajulisha tu tujiandae kisaikolojiaMbona singasinga umekazania sana hili suala? una uhakika gani ndugu? achana na maneno ya vijiweni mpira ni mchezo wa wazi dk 90 ndio kila kitu!
Nakazia.Labda kama utani. Simba ni timu ya kawaida sana,inachapwa mapema tu.
Binamu naona ushaanza kuchachawa.Mkuu siku zote Simba tunajua tuna cheza na mkubwa mwenzetu! Mpira hawana lkn kamati ya ufundi wa kijadi wako vizuri..
Ya kweli haya Mtani?Wanaomba yatokee maajabu kama ya Corona mechi iairishwe
Mtajuta mtaniSawa.
Kumbuka imebakia kesho tu.
Angalia tu mana naona kuna kila dalili ya wewe kujuta tena.Mtajuta mtani
Tusubiri j2 uone tukikamilisha jambo letuAngalia tu mana naona kuna kila dalili ya wewe kujuta tena.