STATE AFFAIRS
New Member
- May 17, 2021
- 3
- 6
Imeripotiwa, ajali nyingine ya moto imeteketeza hoteli huko Kariakoo. Hadi muda huu moto unaendelea na jitihada za kuudhibiti pia zinaendelea.
=========
Moto Umeibuka katika Hotel ya Rungwe Palace iliyopo Mtaa wa Livingston na Mahiwa Jirani na Msikiti wa mtoro Jijini dsm na kuzua Taharuki katika katika Mitaa hiyo ambayo ina mkusanyiko wa watu wengi.
Moto umefanikiwa kuzimwa.
=========
Moto Umeibuka katika Hotel ya Rungwe Palace iliyopo Mtaa wa Livingston na Mahiwa Jirani na Msikiti wa mtoro Jijini dsm na kuzua Taharuki katika katika Mitaa hiyo ambayo ina mkusanyiko wa watu wengi.
Moto umefanikiwa kuzimwa.