OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,185
- 103,698
Kwa hao wagombea hapo, ni dhahiri sasa enzi za Karia zimeisha. Nawapa nafasi Ally Mayayi na Tarimba Abbasi
Kubenea alienda kumchukulia fomu Ally Saleh.Unemsahau Saeed kubenea
Ally ana Uyanga mwingi alafu Karia ana unini mwingi?Tarimba ni mroho wa madaraka tu,Ally ana Uyanga mwingi
Wapi nimemtaja Karia?Ally ana Uyanga mwingi alafu Karia ana unini mwingi?
Mkuu huelewi siasa za chaguzi za mpira hata kidogo,narudia tena huelewi siasa za mpira.View attachment 1816200
Kwa hao wagombea hapo, ni dhahiri sasa enzi za Karia zimeisha. Nawapa nafasi Ally Mayayi na Tarimba Abbasi
Mkuu haelewi kua wapiga kura wanatengenezwa.Nadhani unashangilia ushindi wa KARIA!
Atashinda kwa sababu tu amewatengeneza yeye wapiga kura!
Ili mbeleko iendeleeAbas Tarimba na Mayai watu pekee wenye msuli wa kumshinda Karia na hao wengine.
Ila mimi binafsi natamani Karia ashinde.
View attachment 1816200
Kwa hao wagombea hapo, ni dhahiri sasa enzi za Karia zimeisha. Nawapa nafasi Ally Mayayi na Tarimba Abbasi
Karia ni Simba mwenzangu.Ally ana Uyanga mwingi alafu Karia ana unini mwingi?