Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,312
- 6,770
Zinaitwa NGANO za vibaraza vya KAHAWA!
Potezeni mda kwa mambo ya vijiweni huku gharama ya kujenga chama ikiyoyoma!
Falsafa kali sana hii, lkn nimekusoma mkuu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinaitwa NGANO za vibaraza vya KAHAWA!
Potezeni mda kwa mambo ya vijiweni huku gharama ya kujenga chama ikiyoyoma!
Zitto, naibu katibu wa chadema ambae hivi majuzi amewaaga wana wa chadema kigoma kaskazi baada ya kuongoza jimbo hilo katika vipindi viwili tofauti,taarifa za ndani sana zinadai sasa amerejea chadema na he is going to start over right from the scratch. Mwanasiasa huyu kijana ambae hivi majuzi alivuliwa nguo hapa JF kuwa ni mmoja wa wafadhili wa Masalia.. kwa taarifa za ndani zinadai, hana mpango wa kuacha siasa wala kuondoka chadema, ila kwa sasa ana kazi kuu moja kufanya matengenezo na kufukia mabonde yake ndani ya chama baada kupitia vipindi mbali mbali vya kupoteza imani ya wanachama haswa viongozi wake waandamizi kufikia hatua ya kutoifanya kazi yake ya unaibu ipaswavyo. Tayari ameshaomba nafasi ya kukaa karibu na viongozi na wazee ndani ya chama, na alilihitaji hiyo nafasi mapema na sasa ipo katika mchakato(ikumbukwe mbowe katika mkutano wa juzi hakupenda mjadala wa Zitto upewe coverage ili kuucha upepo upite wamalizane ndani ya chama). Taarifa za kuaminika kutoka kwa washauri wa Zitto zinadai hatagombea nafasi yoyote ndani ya chama,(unless atapewa shinikizo na wazee/baraza la ushauri).."Pengine hata yeye anajiuliza mbona yeye ni kiongozi mzuri lakini kila kukicha anakutana na setbacks ambazo kama kiongozi alipaswa nazo awe na uwezo wa kuzimaliza, but its consistent inamfanya aweke silaha chini, akaanze upya" chanzo hicho kilizidi kilidai. . Zitto hutamsikia kwa sasa akijadili habari za yeye kugombea urais, hutamsikia akizungumza habari ya kugombea uongozi ndani ya chama, ila anasubiri ratiba ya nguvu ya umma ikamilike utamsikia katika mimbari ya kisiasa mikoa ya tanzania akiipigania chadema..(Mark my words).. Ndiyo kauli ya mwisho nlioambiwa na mtu wa karibu sana na Zitto.
MY TAKE
Hivi urafiki wa Zitto na CCM(Kikwete) umeisha?
Je ni kweli anaweza akawa amemsikiliza Mama yake ambaye pamoja na wazee wengine walipewa kazi ya kuketi naye kitako wamsikilize na kumshauri?
Vipi nafasi ya masalia? Jee ni kwamba ameamua kumkataa shetani na kazi zake zote?
Ni wazi kuwa Zitto yupo comfortable kwa sasa, na strategy ya kurudi nyuma kuanza ku toil kwa ajili ya chama nadhani ni uamuzi mzuri.. Pengine mpaka ifike 2015 chadema ikashangaza watu ambao wanafikiri kitapasuka. Naona Zitto umri unakuja na busara,na pia nawapongeza viongozi wa chadema kwa kuamua kusolve hii issue ya Zitto kwa namna ambayo wapinzani wenu watakua confused wakiwa washachelewa!
Bado anayo nafasi hata isipokuwa 2015 kuna 2020 ambayo akitulia vyema inaweza kuwa upande wake ila yafaa atulize kichwa.
probably the guy had no choice. aliambiwa afanye hivyo. yeye si wa kwanza, tunakumbuka nyerere alishawahi kumwambia Aboud Jumbe "you have to step down" historia hujirudia. hivi nilazima zitto uwe hapo chadema? unaelimu kwa nini unyanyasike kwa ajili ya dini yako tu? ya kabila laku tu? ya ukanda wako tu? fikiria, chukua hatua.
probably the guy had no choice. aliambiwa afanye hivyo. yeye si wa kwanza, tunakumbuka nyerere alishawahi kumwambia Aboud Jumbe "you have to step down" historia hujirudia. hivi nilazima zitto uwe hapo chadema? unaelimu kwa nini unyanyasike kwa ajili ya dini yako tu? ya kabila laku tu? ya ukanda wako tu? fikiria, chukua hatua.
Hakuna anayemchukia Zito CDM. Watu wananampenda Zito lakini baadhi ya vitendo vyake vinawapa mashaka watanzania wengi. Mimi mwenyewe nimekuwa mkosoaji wa Zito humu ndani. Si kwamba simpendi kwasababu ya dini yake wala kabila lake. Kwani dini na ukabila inahusiana vipi na uongozi kwenye chama.probably the guy had no choice. aliambiwa afanye hivyo. yeye si wa kwanza, tunakumbuka nyerere alishawahi kumwambia Aboud Jumbe "you have to step down" historia hujirudia. hivi nilazima zitto uwe hapo chadema? unaelimu kwa nini unyanyasike kwa ajili ya dini yako tu? ya kabila laku tu? ya ukanda wako tu? fikiria, chukua hatua.
Kunakipindi hii single Zitto mwenyewe alikuwa anaiimba sana lakini yeye anasema umri umefika na ameaumua sasa kutoil nakurudi nyuma kwa ajili ya chama manake kesha ona hiyo single haiuuzi anajiunga nawenziwe kwenye M4C sasa tuache sisi tujiridhishe kama kweli amerudiprobably the guy had no choice. aliambiwa afanye hivyo. yeye si wa kwanza, tunakumbuka nyerere alishawahi kumwambia Aboud Jumbe "you have to step down" historia hujirudia. hivi nilazima zitto uwe hapo chadema? unaelimu kwa nini unyanyasike kwa ajili ya dini yako tu? ya kabila laku tu? ya ukanda wako tu? fikiria, chukua hatua.
Kwani uteuzi wa mgombea urais kwa tiketi ya CDM tayari? Alokwambia atagombea Slaa nani? Who knows labda hata mimi naeza teuliwa, acha haraka.