Massa
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 647
- 794
Kama katiba mpya itapatikana kabla ya uchaguzi na serikali mpya ya mwaka 2015 kuanza kazi kwa katiba mpya basi kuna kila matumaini itakua cdm. Na watu wengi wameomba kwenye katiba mpya mbunge asiwe waziri. Hivyo zitto keshakua na ndoto za uwaziri which it's good kwani atakua yuko karibu zaidi na serikali na kwenye kusimamia rasilimali za nchi. Me think nothing against zitto