Umefikia kusema uko tayari kuuawawa... Tafadhali hebu kaaa kimya usitake kutuletea vurugu nchini... kwani ni lazima nchi hii iinde kama unavyotaka wewe?
Kama una akili timamu jiulize: kama umeweza kusema kama ulivyofanya, kwa nini Pengo asiweze kusema kama anatishiwa? Unataka kusema una hazki zaidi yake?