Kinjeketile
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 985
- 1,656
Kweli mnajua kutegeneza ndiyo maana Wabelgiji wamemtengeneza Msaliti Lissu.
Una roho ngumu sana. Bosi wako Magufuli pamoja na roho mbaya yake na kiburi lakini ameshalegea anawapigia magoti wananchi huko,na muda si mrefu atamwaga radhi hadhari kutafuta huruma ya wananchi,wananchi ambao akisha waibia kura zao na kufanikiwa kurudi ikulu hatokuwa na huruma nao mwendo ni ule ule wa mateso tena ataongeza ukatili na utesaji wa wananchi,mzee was visasi tunjua hulka zake.