Uchaguzi 2020 Karatu, Manyara: Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu (Sept 29, 2020)

Kweli mnajua kutegeneza ndiyo maana Wabelgiji wamemtengeneza Msaliti Lissu.


Una roho ngumu sana. Bosi wako Magufuli pamoja na roho mbaya yake na kiburi lakini ameshalegea anawapigia magoti wananchi huko,na muda si mrefu atamwaga radhi hadhari kutafuta huruma ya wananchi,wananchi ambao akisha waibia kura zao na kufanikiwa kurudi ikulu hatokuwa na huruma nao mwendo ni ule ule wa mateso tena ataongeza ukatili na utesaji wa wananchi,mzee was visasi tunjua hulka zake.
 
Nimenyoosha mikono mnajua kuedit picha. Nilikuwepo Karatu hakuna watu wengi hivyo! Kweli Magufuli ameshashinda anasubiri kuapishwa. Karatu nilikuwepo hakuna watu kama hao wewe muongo mkubwa!
Weka za kwako ulizopiga tuone.
 
Leo nimeamini kumbe picha mnategeneza! Nilikuwepo Karatu hakuna umati wa watu kama hawa sanasana kulikuwa na waendesha pikipiki wanapita mitaani kweli nyinyi ni kiboko kwa kuedit picha. Nilikuwa nasikia tu kuwa huwa mnatengeneza picha leo nimehakikisha mwenyewe!
karatu umeenda kufanya nini wewe kunguni
 
Nimeona msafara wa Tundu Lissu akisindikizwa na police jioni hii kutoka karatu kwenda Moshi aisee.

Speed ya magari ni kubwa mno naomba Rais wetu mtarajiwa usalama wake uangaliwe kwa umakini.

Wasije kumtengenezea ajali maana maadui ni wengi mno na walishamtishia kwenye simu Kumfanyia kitu kibaya kingine.

Rais wetu ashauriwe vizuri wanaotembea naye magari yapunguze mwendo maana mwendo unakuwa mkali mno.

Usalama wa Rais unakuwa mdogo Sana nashauri uangaliwe utaratibu mzuri wa yeye kuwai anakoenda usalama ni muhimu kuliko kitu chochote.

Tusichezeshwe ngoma zao. Adui huyu si mwema.
 
Weka hapa hayo manyomi. Hapo wala hatoi hotuba bali anaenda zake Hai kwa kimbunga kingine.
Ukiona mnavyojifaragua humu unaishia kucheka tu,
Cheki hawa miamba
20200814_164053.jpg
20200819_215139.jpg
20200901_195834.jpg
 
Moto wa LISSU mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA hauximiki!!
Kuna mjinga mmoja toka nzi wa KIJANI anayefikiri Polepole Sana anakiita ati Chama Cha Mbowe!!!
Pambaf....!!
Wewe umeanza kufuatilia siasa baada ya Lisu kutoka ubelgiji.

Hawa wakiona mnavyojifaragua humu wanaishia kucheka tu
20200901_195834.jpg
20200814_164053.jpg
20200814_164156.jpg
 
Kwani wanakimbilia wapi na hiyo spidi, kwanini Magufuli nae wasimkimbize hivyo hivyo?

Hiyo ni janja ya polisi na chama chakavu kumzuia Lissu asiwasalimie watu njiani, mbona Magufuli anasimama kila anapotaka?

Huu ujanja wao wa kizamani safari hii hautawasaidia, watanzania wameshaamua kwa umoja wao mwaka huu #ni yeye

Mambo ya kukimbia hovyo kwenye nchi tunayohubiriwa ni ya amani kila siku yamepitwa na wakati.
 
Wana JF wenzangu wakubwa kwa wadogo, kuna kitu kinaitwa Environmental research, utafiti wa kimazingira. Watu wanaoishi na makada wa ccm wamethibitisha hali hii ambayo haijawahi kutokea ndani ya chama cha mapinduzi, kuwa takribani kila kada wa ccm ndani ya dakika tano anamfikiria Tundu Lissu eidha kwa mabaya au mema.

Hakuna hata kada yoyote wa ccm ambaye ameweza kukaa kwa muda mrefu bila kumuwazi Tundu Lissu. Mjomba wangu ambaye ni kada maarufu na mfia ccm amedai kuwa Tundu Lissu anamsababishia presha maana akimuwazia tu moyo unashituka, hivyo anamkosesha raha maana ana wasi wasi na jinsi anavyoungwa mkono na watu wengi. Mbaya zaidi ni pale anapoona baadhi ya makada wenzake kumuongelea vizuri kwamba Tundu Lissu ni msafi na ndiye anayemkabili Mh. Magu vilivyo.

Baba yangu mdogo yeye ni kada mtiifu wa CCM lakini wanatofautiana sana na mjomba wangu kwa kumuwaza Lissu kila mara kama mkombozi na mwenye uthubutu wa kumsema Mh.Magu bila kuogopa, maana baba mdogo anasema kuwa Magu anafanya kazi vizuri lakini ana kauli na kiburi cha kufikiri yeye ndio mtanzania anayejua mambo yote kuliko wengine na mwenye uchungu kuliko wote kitu ambacho anasema siyo kweli. Jambo lingine baba mdogo anasema ndani ya ccm wapo watu wengi ambao wanampenda Lissu kwa sababu hana tuhuma halafu amekuwa akitetea rasilimali na wananchi siku zote. Utafiti wa kimazingira umeonyesha makada wa ccm wanamuwazia Lissu sana kila baada ya 1-5 hadi tano lazima wafanye hivyo.

Hitimisho ni kwamba hakuna aliyetarajia ndani ya chama cha mapinduzi kama angetokea mtu yeyote katika uchaguzi huu ambaye angeweza kuleta changamoto kama Lissu anavyofanya leo. Kila mmoja alitarajia kuwa ccm isingeweza kutumia nguvu kubwa kunadi mgombea wao, ila mambo yamekuwa tofauti na matarajio. Hali ilivyo sasa inatisha maana kuna wasi wasi kwamba Lissu anaweza kuchukua nchi ndio maana imeanza kutumika nguvu kubwa ya vyombo vya dola na tume ya uchaguzi. Kumbuka mwanzoni mwa kampeni, mgombea wa Urais ccm alidai picha za mafuriko ya Lissu ni za 2015, makada wengine wakasema ni zakuedit, leo wanadai wanaofurika kwa Lissu siyo wapiga kura maana hawajaandikishwa. Lissu makada wa ccm wanakuwaza sana.
Hata wewe umeanza kufuatilia siasa baada ya Lisu kutoka ubelgijiView attachment 1584816
20200814_164235.jpg
20200814_164053.jpg
20200814_164156.jpg
20200819_215139.jpg
 

Attachments

  • 20200814_164156.jpg
    20200814_164156.jpg
    123.4 KB · Views: 1
Na hapo hakuna mabango/picha za Lissu mitaani ukilinganisha na mabango ya yule Mporipori mwenye roho ya kichawi.

Goooo Lissu! Ogopa kukutana na mtu aliyeamka kutoka kwenye usingizi wa mauti, who hanged between heaven and earth. Ana upako wa ajabu!! Gooooo Lissu!
 
Back
Top Bottom