Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,562
- 15,906
Habari za Eid natumaini wazima wote.
Kama ilivyo ada katika jukwaa hili tunachambua masuala mbalimbali ya kimataifa kuhusiana hasa na suala la vita ya Ukraine na Urusi. Binafsi naona kama mpaka sasa na kama itaendelea hivi Urusi itakamilisha mpango wake wa kuwa na nguvu zaidi Duniani kiuchumi ,kijeshi n.k . Nasema haya kwa sababu zifuatazo.
1.Mpaka sasa Urusi amefanikiwa kuimarisha sarafu yake (Rubles) kwa kulazimisha nchi zote "unfriendly " kufanya biashara kwa pesa yake ( USD imepotezwa)
2. Hivi sasa Marekani na nchi za ulaya baadhi wanatuma fedha na silaha nzito nzito huko Ukraine. Kinachoendelea huko Ukraine Urusi anapambana kuteka depot za silaha kutoka Western na kuzichukua na nyengine anazilipua. Hapa faida anaepata ni mrusi na hasara kwa upande wa pili.
3. Soko la nishati kwa ujumla kuanzia mafuta , gesi na coal limeongezeka maradufu kwa nchi za India na China ambazo mahitaji yake ni makubwa hivyo kuzidi kuimarisha biashara ya urusi kwa nchi hizo.
Kwa uchache nikiweka katika mzani wa faida na hasara naiona Urusi ikinufaika zaidi na hii vita na nina predict kuna uwezekano wa vita hii kuchukua muda mrefu kutokana na faida inayopatikana though pia makampuni ya silaha kule marekani yameongeza faida maradufu baada ya kuuza kwa serikali silaha zinazopelekwa Ukraine.
Ni hayo tu kwa leo.
Kama ilivyo ada katika jukwaa hili tunachambua masuala mbalimbali ya kimataifa kuhusiana hasa na suala la vita ya Ukraine na Urusi. Binafsi naona kama mpaka sasa na kama itaendelea hivi Urusi itakamilisha mpango wake wa kuwa na nguvu zaidi Duniani kiuchumi ,kijeshi n.k . Nasema haya kwa sababu zifuatazo.
1.Mpaka sasa Urusi amefanikiwa kuimarisha sarafu yake (Rubles) kwa kulazimisha nchi zote "unfriendly " kufanya biashara kwa pesa yake ( USD imepotezwa)
2. Hivi sasa Marekani na nchi za ulaya baadhi wanatuma fedha na silaha nzito nzito huko Ukraine. Kinachoendelea huko Ukraine Urusi anapambana kuteka depot za silaha kutoka Western na kuzichukua na nyengine anazilipua. Hapa faida anaepata ni mrusi na hasara kwa upande wa pili.
3. Soko la nishati kwa ujumla kuanzia mafuta , gesi na coal limeongezeka maradufu kwa nchi za India na China ambazo mahitaji yake ni makubwa hivyo kuzidi kuimarisha biashara ya urusi kwa nchi hizo.
Kwa uchache nikiweka katika mzani wa faida na hasara naiona Urusi ikinufaika zaidi na hii vita na nina predict kuna uwezekano wa vita hii kuchukua muda mrefu kutokana na faida inayopatikana though pia makampuni ya silaha kule marekani yameongeza faida maradufu baada ya kuuza kwa serikali silaha zinazopelekwa Ukraine.
Ni hayo tu kwa leo.