APA CHICAGO
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 259
- 293
Chadema walipo amua kufanya maamuzi ya kujiweka quarantine ili kujikinga na kuwakinga wawapendao na virus vya COVID-19. Walifanya jambo jema lakini pia ilikuwa na kitu kinaitwa political gain.
Bahati mbaya sana kwa siku 14 za quarantine ya CHADEMA hakuna Mbunge aliyepoteza maisha hadi walipo rudi bungeni hivyo political gain hawakuipata.
Bahati mbaya pia ni kuwa quarantine ya CHADEMA imeacha majeraha ndani ya chama. Kwani kupitia maamuzi ya quarantine kuna baadhi ya wabunge wa CHADEMA hawakukubaliana nayo wengine wakaamua kuendelea na vikao kama kawaida bila kujali zuio la Chama chao.
Ukweli ni lazima usemwe; hata kama ni mchungu kiasi gani. Karata ya kujiweka quarantine kwa wabunge wa CHADEMA haikuwalipa kama walivyotarajia.
Bahati mbaya sana kwa siku 14 za quarantine ya CHADEMA hakuna Mbunge aliyepoteza maisha hadi walipo rudi bungeni hivyo political gain hawakuipata.
Bahati mbaya pia ni kuwa quarantine ya CHADEMA imeacha majeraha ndani ya chama. Kwani kupitia maamuzi ya quarantine kuna baadhi ya wabunge wa CHADEMA hawakukubaliana nayo wengine wakaamua kuendelea na vikao kama kawaida bila kujali zuio la Chama chao.
Ukweli ni lazima usemwe; hata kama ni mchungu kiasi gani. Karata ya kujiweka quarantine kwa wabunge wa CHADEMA haikuwalipa kama walivyotarajia.