sawa doctor uliesoma Stafford waelekeze weweNaona unatumia Elimu yako ya Shule ya kata Kuelezea Ujinga wa kitu usichokua na Uelewa Nacho
======
MAGO, Amechangia hii mada na kusema;
Nimeona clips kadhaa za wasanii wa Wasafii eti wako kwenye isolation (kalantin) kwa sababu za mwenzao Salam kukutwa na maambukizi baada ya kuwa safari ya pamoja katika nchi za ulaya.
Makosa ambayo yanafanywa na wasanii na bila kupewa muongozo wa watu wa afya wa namna/maana ya quarantine.
Kwanza katika kipindi hiki cha kuwa in isolation hupaswi kuwa na any form of physical contact na watu ama vitu ambavyo vitatumiwa ama kuguswa na wengine, kifupi unakuwa katika mahala pa peke yako.
Hii ni kwa sababu katika kipindi hiki unaweza kuwa umeambukizwa ila symptoms ama vipimo visionyeshe maambukizi. Ni kipindi cha tahadhari dhidi ya kuambukiza wengine na pia kuona preliminarily kama utapata any symptom related to COVID.
Sasa hawa jamaa kukaa katika one house kukiwa na all forms of physical contacts baina yao ama na vitu ambavyo huguswa na wenzako inaondoa maana nzima ya karantini?? Why
Endapo kuna mmoja tu miongoni mwao alikuwa ameambukizwa na subject 1 ambaye ni Salam basi na wengine wote wanaweza kuwa katika risk ya kuambukizwa humo walikolundikana.
Hivyo basi ilipaswa kila mmoja awe katika chumba chake kwa kipindi chote cha siku 14 ili kutimiza matakwa ya quarantine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamfatilia sana aisee , kwanamna hii Diamond atabaki juuKik Ya yeye kumtema Tanasha Imebuma, Kik Ya mama yake Kutemwa na Kiben 10 pia Imebuma ameona wivu Mwana FA katrend na Yeye kaamua Kupitamo alaf raia Wamempotezea Japokua Vi fans Vyake Vinajaribu Kubust ila Busta Limegoma Pia.
Mkuu una maisha magumu sana pambana, Kama umeweza kuonyesha chuki kwa kiasi hiki hatari sana.Kik Ya yeye kumtema Tanasha Imebuma, Kik Ya mama yake Kutemwa na Kiben 10 pia Imebuma ameona wivu Mwana FA katrend na Yeye kaamua Kupitamo alaf raia Wamempotezea Japokua Vi fans Vyake Vinajaribu Kubust ila Busta Limegoma Pia.
asilimia MIA kabisaUkiona mtu anamchukia diamond ujue huyo mtu ana wivu mbaya wa maendeleo in real life