Karamagi Na Kikao Cha Wanakagera

Kweli hawa nshomile ni kiboko, mahela wanayo!

Kitila,

Ebu fikiria hizo pesa zingechangwa kwa ajili ya kwetu kule Singida? Mkoa ungeacha kuwa na wasomi Mtanzania na Kitila tu (utani) na badala yake tungemwaga mashule ili hata wadogo zetu wafaidi matunda ya uhuru.

Lakini ndugu zetu Wahaya wametuzidi kweli kweli maana wanaendeleza kulikoendelea tayari, badala ya kutusaidia na wengine tuendelee.
 
Jamani Naomba Kuuliza Mimi Nina Uhakika Na Kuna Makaratasi Nimetumiwa Kwamba Mama Rita Na Mzee Walisha Tengena Mwenye
Email Antumie Nimtumie Najaribu Kunyanyua Nileete Uku Naona Ngumu Kidogo Yeye Kwenda Kama Mengi Imenishtua ....
 
Gametheory Waelekeze Sie Tusijua Hizo Alama Maana Yake Nini Shilingi Au????
 
..wamechangia billioni 1.4 kwa ajili ya ELIMU.

..halafu tunashangaa kwanini wamejazana Faculty of Engineering na UDSM-Computer Center.

..hivi Rita Mlaki mtamsingizia kuwa na mabwana wangapi? Mara mlisema Mkapa, sasa mnadai Mengi. Mama mwenyewe mzee.

..kila mwanamke aliyewafanikiwa kitaaluma na kioungozi tunamkashifu kuwa ni ngono ndiyo imefikisha hapo. hivi hakuna waliofanikiwa on merit, au ukabila, au udini?


Huyu Mama ni Chemical Engineer. Kasoma shule ya nguvu kuliko hata Lowassa.
 
..wamechangia billioni 1.4 kwa ajili ya ELIMU.

..halafu tunashangaa kwanini wamejazana Faculty of Engineering na UDSM-Computer Center.

..hivi Rita Mlaki mtamsingizia kuwa na mabwana wangapi? Mara mlisema Mkapa, sasa mnadai Mengi. Mama mwenyewe mzee.

..kila mwanamke aliyewafanikiwa kitaaluma na kioungozi tunamkashifu kuwa ni ngono ndiyo imefikisha hapo. hivi hakuna waliofanikiwa on merit, au ukabila, au udini?


Huyu Mama ni Chemical Engineer. Kasoma shule ya nguvu kuliko hata Lowassa.

JokaKuu,

Hapa JF, kuna ka aina fulani ka kudhalilisha dada zetu hasa wanaofanikiwa.

Pia kuna kaaina fulani ka kufikiri kila Mtanzania aliyefanikiwa ni mwizi.

Mimi sasa naanzisha mapambano ya kuwafagilia dada zetu na Watanzania wengine waliofanikiwa. Lazima tushangilie kufanikiwa kwa ndugu zetu kwani kinyume chake ndio hao wageni wanaochukua kila kitu. Akina Chavda eti wanakuja bila kitu wanaishia kuwa mamilionea TZ.

Unless kuna ushahidi tosha wa ufisadi au ku abuse madaraka, mimi kuanzia sasa sitatoa comments zozote negative kuhusu Watanzania wanaofanikiwa through biashara au kazi zao.

Kama mwanamke kalala na mkubwa, huyo mkubwa ndio wa kulaumiwa na sio kila siku kuwapakazia dada zetu.

Tunahitaji akina Mengi wengi ili angalau nchi yetu na watu wetu wawe huru. Tutaendelea kuwa Majuha kwenye nchi yetu mpaka lini?
 
hakyanani vile
tushukuru kamchango kameingia ktk fuko la maendeleo.
ila shaka yangu ni hivi vyama vya kikanda ambavyo kutwa kucha ni kuchangisha fweza kwa maendeleo ya kanda zao. je hii ndiyo ukabila unarudi kwa mlango wa bluu?
 
Msanii,
hata msiba una wenyewe. harakati za kujitafutia maendeleo vilevile.

hizo shule watakazojenga watanzania kutoka maeneo mengine wanaweza kujiunga nazo. wahandisi,madaktari,waalimu watakaohitimu watatumika popote pale Tanzania.

kuna kipindi hivi vyama vya kiwilaya na mikoa vya maendeleo vilikuwa vinapigwa vita. matokeo yake watu wakaacha kuchangia maendeleo kabisa. maeneo waliondeleza shuguli hizo kisirisiri leo hii yamepiga hatua kubwa kuliko yale yaliyoacha kabisa.

Watanzania tuache hii tabia ya "BORA WOTE TUKOSE." Tuangalie uwezekano wa "WOTE KUPATA."
 
..wamechangia billioni 1.4 kwa ajili ya ELIMU.

..halafu tunashangaa kwanini wamejazana Faculty of Engineering na UDSM-Computer Center.

..hivi Rita Mlaki mtamsingizia kuwa na mabwana wangapi? Mara mlisema Mkapa, sasa mnadai Mengi. Mama mwenyewe mzee.

..kila mwanamke aliyewafanikiwa kitaaluma na kioungozi tunamkashifu kuwa ni ngono ndiyo imefikisha hapo. hivi hakuna waliofanikiwa on merit, au ukabila, au udini?


Huyu Mama ni Chemical Engineer. Kasoma shule ya nguvu kuliko hata Lowassa.


Jamani hapa mwanichanganya kwani ni Rita Mlaki ama Rita Pulsoni? ama ndo yale yale ya Emmanuel wa muhimbili kupasuliwa kichwa na mguu ndivyo sivyo?

Nijuavyo kwa Mengi ni Rita Pulsoni!!
 
Ndio maana waHaya nawaheshimu sana. Wakitaka kufanya kitu, wanafanya! Kazi nzuri sana hii, 1.4/bn kwa siku si mchezo! Tusubiri matekelezo. Hili kabila siku zote linani-fascinate sana, no doubt!
 
Kitila,

Ebu fikiria hizo pesa zingechangwa kwa ajili ya kwetu kule Singida? Mkoa ungeacha kuwa na wasomi Mtanzania na Kitila tu (utani) na badala yake tungemwaga mashule ili hata wadogo zetu wafaidi matunda ya uhuru.

Lakini ndugu zetu Wahaya wametuzidi kweli kweli maana wanaendeleza kulikoendelea tayari, badala ya kutusaidia na wengine tuendelee.

Mkuu Mtanzania

Ebu tuachane na siasa za karamagi za kujiosha na mikataba ya Buzwagi, hivi nani amekuwa Bukoba siku za karibuni, kule bwana ni choka kabisa kabisa.

Afadhali wangewaacha wakawa waganda tu. Maana kutoka kule kuja Bongo na makao makuu ya Inchi ya tanzania ni kimbembe tu. Kama karamagi anataka kuenedeleza Kagera kwa nini asiiimize barabara zikatengenewa zilizo anza miaka sasa inaelekea karne na hakuna kitu cha maana.

Bahati mbaya wana kagera walimpoteza mpiganaji wa kweli marehemu Kinyondo, huyu ndiye alikuwa kinara haswa.

Hawa ni siasa tu za bongo za kujikosha madhambi na kuwapelekea wazee wa Bukoba mbuzi kwenye magunia tu.

Sasa hivi ukifika Bukoba eti mjini utafikiri uko manzese. Sasa mtasemaje kuwa wahaya wameendelea. Hayo yalikuwa ya Zamani.

Wale asilimia kubwa waliopo sijui Engineer, Computing Centre na Mikocheni ni wale waliodoea, wale mababa zao na mabibi zao walibahatika wakati wa nyerere kupata upendeleo na kuweza kukimbia kule mabonde kwinama.

Wahaya wamshukuru tu Mseveni na wakenya kuwaruhusu kutumia nchi zao kuweza kufika huko majumbani kwao maana najua ni wachache walio na laki 4 za kupanda ndege.

Anyway kuna mtu mmoja kasema tungependa kujua makusanyo yatafanya nini, na je kilio cha kuitaji passport kwenda Bukoba JK na EL na Karamagi wanakijua?

Mimi nafikiri kuna haja ya watu wa Kagera kuwaomba viongozi wao kama hakuna barabara wawarudishe Uganda maana watapata maendeo kwa mseveni kuliko kwa kwa hawa jamaa wanaosaini bahadhi ya mikataba hata bila kuisoma.
 
Mkuu Mtanzania

Ebu tuachane na siasa za karamagi za kujiosha na mikataba ya Buzwagi, hivi nani amekuwa Bukoba siku za karibuni, kule bwana ni choka kabisa kabisa.

Afadhali wangewaacha wakawa waganda tu. Maana kutoka kule kuja Bongo na makao makuu ya Inchi ya tanzania ni kimbembe tu. Kama karamagi anataka kuenedeleza Kagera kwa nini asiiimize barabara zikatengenewa zilizo anza miaka sasa inaelekea karne na hakuna kitu cha maana.

Bahati mbaya wana kagera walimpoteza mpiganaji wa kweli marehemu Kinyondo, huyu ndiye alikuwa kinara haswa.

Hawa ni siasa tu za bongo za kujikosha madhambi na kuwapelekea wazee wa Bukoba mbuzi kwenye magunia tu.

Sasa hivi ukifika Bukoba eti mjini utafikiri uko manzese. Sasa mtasemaje kuwa wahaya wameendelea. Hayo yalikuwa ya Zamani.

Wale asilimia kubwa waliopo sijui Engineer, Computing Centre na Mikocheni ni wale waliodoea, wale mababa zao na mabibi zao walibahatika wakati wa nyerere kupata upendeleo na kuweza kukimbia kule mabonde kwinama.

Wahaya wamshukuru tu Mseveni na wakenya kuwaruhusu kutumia nchi zao kuweza kufika huko majumbani kwao maana najua ni wachache walio na laki 4 za kupanda ndege.

Anyway kuna mtu mmoja kasema tungependa kujua makusanyo yatafanya nini, na je kilio cha kuitaji passport kwenda Bukoba JK na EL na Karamagi wanakijua?

Mimi nafikiri kuna haja ya watu wa Kagera kuwaomba viongozi wao kama hakuna barabara wawarudishe Uganda maana watapata maendeo kwa mseveni kuliko kwa kwa hawa jamaa wanaosaini bahadhi ya mikataba hata bila kuisoma.



watu wa KAGERA hawana tofauti sana na watu wa PWANI ambao walisahauliwa...lakini cha ajabu watu wa KAGERA hawaishi kujisifu kuwa wana ma PHD kede kede lakini cha ajabu walishindwa kuinfluence serikali kujenga bara bara na infrastucture za maana kule kwao

Lakini kwa upande mwingine WAPEMBA nao wanaweza kulalama vile vile kuwa nao wamesahauliwa na wana kagera kama wanalipa kodi kama watu wa ARUSHA then hawana haja ya kuchangishana pesa kujenga shule wakati hilo ni jukumu la serikali kufanya hivyo na ni kiasi cha kuishinikiza tuu wafanye hivyo

Kama wamejenga uwanja wa mpira wa malilioni pale Temeke hawakosi hizo pesa za kujenga bara bara ya maana kwenda huko Bukoba

 
Mkuu Mtanzania

Ebu tuachane na siasa za karamagi za kujiosha na mikataba ya Buzwagi, hivi nani amekuwa Bukoba siku za karibuni, kule bwana ni choka kabisa kabisa.

Afadhali wangewaacha wakawa waganda tu. Maana kutoka kule kuja Bongo na makao makuu ya Inchi ya tanzania ni kimbembe tu. Kama karamagi anataka kuenedeleza Kagera kwa nini asiiimize barabara zikatengenewa zilizo anza miaka sasa inaelekea karne na hakuna kitu cha maana.

Bahati mbaya wana kagera walimpoteza mpiganaji wa kweli marehemu Kinyondo, huyu ndiye alikuwa kinara haswa.

Hawa ni siasa tu za bongo za kujikosha madhambi na kuwapelekea wazee wa Bukoba mbuzi kwenye magunia tu.

Sasa hivi ukifika Bukoba eti mjini utafikiri uko manzese. Sasa mtasemaje kuwa wahaya wameendelea. Hayo yalikuwa ya Zamani.

Wale asilimia kubwa waliopo sijui Engineer, Computing Centre na Mikocheni ni wale waliodoea, wale mababa zao na mabibi zao walibahatika wakati wa nyerere kupata upendeleo na kuweza kukimbia kule mabonde kwinama.

Wahaya wamshukuru tu Mseveni na wakenya kuwaruhusu kutumia nchi zao kuweza kufika huko majumbani kwao maana najua ni wachache walio na laki 4 za kupanda ndege.

Anyway kuna mtu mmoja kasema tungependa kujua makusanyo yatafanya nini, na je kilio cha kuitaji passport kwenda Bukoba JK na EL na Karamagi wanakijua?

Mimi nafikiri kuna haja ya watu wa Kagera kuwaomba viongozi wao kama hakuna barabara wawarudishe Uganda maana watapata maendeo kwa mseveni kuliko kwa kwa hawa jamaa wanaosaini bahadhi ya mikataba hata bila kuisoma.

Mkuu,

Pamoja na matatizo yenu lakini bado mna nafuu sana kuliko wananchi wa mikoa mingine.

Hii ya kuhamia Uganda, hata baba akiwa mlevi bado ni babako tu na kuhamia kwa jirani hakuwezi kuondoa kero ya kuwa na baba mlevi. Ni afadhali kuwavaa hao akina Karamangi na wengine ili
barabara ijengwe. JK angeanziha miradi kama hiyo, barabara kutoka Dodoma mpaka Kagera, watu 1M wangepata kazi na maendeleo yangesogea kote wilayani. Lakini bahati mbaya tunatumia pesa nyingi kwenye masafari na ulaji mwingine badala ya maendeleo.

Nchi nzima wasomi wanakimbia kwao, wanajifanya ni watu wa Dar. Mtu asikudanganye, uzalendo unaanzia nyumbani. Mtu ambaye ana uwezo lakini anashindwa hata kurudi kusalimia ndugu zake huko wilayani atasema ana uzalendo wa nchi?

Ni muhimu kurudi tulikotoka maana sisi ni kama role model kwa Watanzania walio wengi. Vijana wanaweza kuambiwa soma, unaweza kuwa kama fulani. Sisi ndio tulivyokuwa tunaambiwa tulivyokuwa wadogo na kwa kiasi fulani hao wakuu walikuwa a motivating factor kwetu.

Nawasifu watu wa Kilimanjaro, Mbeya na Kagera juu ya hilo. Kama na wenyewe wanaanza kusahau huo utamaduni, basi tumekufa Tanzania.
 



watu wa KAGERA hawana tofauti sana na watu wa PWANI ambao walisahauliwa...lakini cha ajabu watu wa KAGERA hawaishi kujisifu kuwa wana ma PHD kede kede lakini cha ajabu walishindwa kuinfluence serikali kujenga bara bara na infrastucture za maana kule kwao




Mkuu
Hapa umepatia maana hizi shida zilianza wanaziona lakini unajua kwa sababu zamani waliweza kuendelea mapema baadaye walikuja kujisahau kama ilivyo CCM.

Matokeo yake baadhi ya mikoa kama Kilimanjaro, Mwanza ... wametoka nyuma wakakuta bado kagera wanajisifu walivyosoma sasa wameachwa kama wamesimama.

Halafu kutokana na shida ya usafiri zamani wale nshomile(siyo mwana JF) waliokuwa wanakwenda kila sikukuu kama walivyo wachaga sasa hivi sana sana wanajikusanya mikocheni na vijiwe vingine kuweza kupata sikukuu.

Hata utamaduni wanaousema sasa itakuwa ni historia.
 
Kitila,

Ebu fikiria hizo pesa zingechangwa kwa ajili ya kwetu kule Singida? Mkoa ungeacha kuwa na wasomi Mtanzania na Kitila tu (utani) na badala yake tungemwaga mashule ili hata wadogo zetu wafaidi matunda ya uhuru.

Lakini ndugu zetu Wahaya wametuzidi kweli kweli maana wanaendeleza kulikoendelea tayari, badala ya kutusaidia na wengine tuendelee.


Mimi nakwambia wewe acha tu!
 
Jamani Naomba Kuuliza Mimi Nina Uhakika Na Kuna Makaratasi Nimetumiwa Kwamba Mama Rita Na Mzee Walisha Tengena Mwenye
Email Antumie Nimtumie Najaribu Kunyanyua Nileete Uku Naona Ngumu Kidogo Yeye Kwenda Kama Mengi Imenishtua ....

ahaa, huyo mama Rita watu wanamnyanyasaga bure, pamoja na matatizo yangu na hawa jamaa wa CCM, I know this lady is smarter and less evil kuliko midubwana mingi sana kwenye CCM. Sasa hiyo ya kuachana na mume wake sisi hiyo haituhusu kabisa maana hata wakati wanatongozana, kuchumbiana na kuoana sie hatukuhoji kabisa. Labda kama amefanya some sexual abuse hapo tutalalama, otherwise tunyamaze kabisa kama hatuwezi kukabiliana naye kama mbunge wa kawe au waziri mdogo wa nyumba.
 
Mkuu
Hapa umepatia maana hizi shida zilianza wanaziona lakini unajua kwa sababu zamani waliweza kuendelea mapema baadaye walikuja kujisahau kama ilivyo CCM.

Matokeo yake baadhi ya mikoa kama Kilimanjaro, Mwanza ... wametoka nyuma wakakuta bado kagera wanajisifu walivyosoma sasa wameachwa kama wamesimama.

Halafu kutokana na shida ya usafiri zamani wale nshomile(siyo mwana JF) waliokuwa wanakwenda kila sikukuu kama walivyo wachaga sasa hivi sana sana wanajikusanya mikocheni na vijiwe vingine kuweza kupata sikukuu.

Hata utamaduni wanaousema sasa itakuwa ni historia.

Mimi si mpenzi wa haya mambo ya HARAMBEE za kujenga shule,hospitali nk

Pili sipendi mamabo ya kuplay politics na kila kitu...

Sioni sababu ya kufanya hivyo in the first place.

Hebu fikiria ziara za LOWASA mikoani Tangu January 2007 Mpaka leo zimegharmu kiasi gani na zingejenga shule ngapi kule MAFIA?

Wananchi wanalipa KODI lakini serikali yetu kama kawaida haijui kuprioritize ndio UWANJA WA TAIFA ULIKUWA MSAADA...sasa kwa nini huo msaada usiwe wa kujenga BARABARA badala ya lile li WHITE ELEPHANT pale Temeke?

Je kipi muhimu BARABARA au UWANJA WA TAIFA?

Je kulikuwa na umuhimu gani kuujenga ule uwanja pale? Why not KISARAWE ambako kungefanyika regeneration ya hali ya juu?

WANA KAGERA kwa kweli nao wamekuwa short changed na hao akina ANNA TIBAIJUKA, KINYONDO na wengineo...ambao wamesifiwa humu. Hawa walitakiwa kujenga hoja kuwa mkoa ule uliathirika sana na vita na the simpliest thing serikali ingeweza kufanya ni kujenga instracture za maaa kule lakini wapi...kuna wajanja wamejazana pale MIPANGO na diploma zao ambao wamekuwa wakiwapiga mabao hao wana kagera na ma PHD yao!

Kujenga shule au barabara au hospitali si jukumu la wananchi au akina karamagi bali ni jukumu la serikali


Mimi nakwambia wewe acha tu!

The same can be said about PEMBA...je kwanini serikali isimwage investments za maana kule Pemba?

lakini kama mnjuavyo kila kitu watawala wanataka kuplay politics
 
Sorry inawezekana sikuipata vizuri, ila haijarishi kachangia kiasi gani tatizo je hizo 20m zinatoka wapi??????????

Uelewe tu kwamba watanzania huwa hawachangi kutokana na mishahara wanayolipwa serikalini, ingekuwa hivyo hata kwenye harusi tungekuwa tunachanga sh mia tano tu! Watu wanachanga kutokana na kipato walicho nacho ambacho kwa hakika si mshahara pekee. Hali ya uchumi na mfumo wa mishahara uliopo unamlazimisha mtu yeyote aliyeajiriwa na serikali kubuni miradi mingine ya kujikimu. Mimi nina marafiki wengi ni madaktari wa tiba, wengine waalimu wa sekondari, wapo wanaoendesha magari mazuri, lakini akikuonesha salary slip yake utashangaa hilo gari kapataje, achilia mbali hiyo nyumba. Na hakuna habari ya mortgage Bongo!

Kwa hiyo haishangazi hata kidogo mtu mwenye biashara zake kutoa mchango kama huo, kwani hautegemei mshahara wake. Labda kama kuna wenye uhakika kama hizo pesa haziwezi kupatikana kutoka kwenye biashara ya huyo mtu (labda ni ndogo mno), basi na wahoji. Lakini kwa ninayosikia kuhusu uwezo wa kiuchumi wa huyu Karamwagi, nashangaa kwa nini ametoa kiasi kidogo namna hii!

Tutofautishe suala la tuhuma za ufisadi na biashara halali. Licha ya kuwepo tuhuma hizo za ufisadi, jamaa anaweza kuwa na biashara halali aliyokuwa nayo kabla ya tuhuma hizo, au kabla ya kupata uwezo wa kutuhumiwa, yaani huo uwaziri. Nadhani hata kabla ya kuwa waziri huyu jamaa alikuwa na uwezo wa kuchanga zaidi ya hizo. Tunaweza kujadili tuhuma zake mahali pengine, lakini kwa hela hiyo aliyochanga hapo, mbona ni ndogo sana?
 
..wamechangia billioni 1.4 kwa ajili ya ELIMU.

..halafu tunashangaa kwanini wamejazana Faculty of Engineering na UDSM-Computer Center.

..hivi Rita Mlaki mtamsingizia kuwa na mabwana wangapi? Mara mlisema Mkapa, sasa mnadai Mengi. Mama mwenyewe mzee.

..kila mwanamke aliyewafanikiwa kitaaluma na kioungozi tunamkashifu kuwa ni ngono ndiyo imefikisha hapo. hivi hakuna waliofanikiwa on merit, au ukabila, au udini?


Huyu Mama ni Chemical Engineer. Kasoma shule ya nguvu kuliko hata Lowassa.

Joka kuu usi-panic, huyo Rita wanayemtaja ni yule chotara wa kitutsi, bosi wa BenchMark, ni hawara ya Mzee Mengi.
 
Jamani hapa mwanichanganya kwani ni Rita Mlaki ama Rita Pulsoni? ama ndo yale yale ya Emmanuel wa muhimbili kupasuliwa kichwa na mguu ndivyo sivyo?

Nijuavyo kwa Mengi ni Rita Pulsoni!!

Hapa anayeongelewa ni Ritta Pulson (yule wa BSC)
 
Back
Top Bottom