Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
- Thread starter
- #21
Mtagundua kitu kimoja, mafisadi wameaumua kumiliki vyombo vya habari na mawasiliano ili waweze kuamua nini msikie na nini muweze au msiweze kuwasiliana. Mnakumbuka kampeni ya changia chadema kwa sms ilikumbwa na nini?
mkuu hata wasi wasi wangu uko hapo tu!