KARAMAGI kuanzisha kampuni ya mawasiliano, inaitwa 4G MOBILE LIMITED

Gsana

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
4,383
1,321
Katika harakati za kujikwamua na maisha aliyekuwa mbunge wa Nkenge Nazir Mustafa Karamagi(CCM) na Salim Mohammed Salim wameamua kuanzisha kampuni ya mawasilino kuwa mshindani wa Voda,Tigo,Airtel,zantel,sasatel,n.k.
Binafsi naona wamedhamiria kuitumia nafasi ya kuwa mwekezaji wa ndani Tanzania. Iki ni chanzo kingine kwa serikali kuweza kupata kodi kwa kuwa makampuni haya ya mobile services yanalipa kodi ya Kutosha.
Kampuni imesajiliwa kwa jina la 4G mobile ltd,yenye anuani P.o Box 40426 Dar es Salaam.
Wanahisa ni wafuatao na hisa zao
1. Nazir Mustafa Karamagi (57.5)
2. Salim Mohammed Salim (20.8)
3. Said Rashid Othman (13)
4. Joseph Mlangila Mfugale (0.8)
5. Vitus Joseph Mfugale(0.006)
6. Kisia Omari Almassi (0.006)
7.Amos george Khoma (0.006)
Selleman S. mvungi (0.06)
8. Hama rasshid Mohamed(0.6)
9. Zacharia Hans Poppe (5.9)
10. Shaa Hassan Mahady
11. Semiit CO.ltd (0.006)
12. Liberty Commercial Agency(0.03)
Kutokana na sheria za mawasiliano,sec.8 Electrnic and and Poastal communication Act No.3 2010 raia anaweza kushauri vyovyote kuhusu ndani ya siku 14 kwa ajili ya kujiridhisha kuwa TCRA itoe leseni au la na wazo ilo litafikiriwa, email dg@tcra.go.tz.
Nafurahi kuleta ujumbe huu kwa jamii yangu na familia yetu ya JF.
Kwa kupata mshindani huyu, nadhani gharama za mawasiliano zitazidi kushuka na mwananchi kupunguza makali ya maisha kwa kuwa asilimia 10 ya matumizi ya kila siku ya watu waishio katika majiji ya Tanzania huishia ktk mawasiliano. Nawasilisha.
 
Katika harakati za kujikwamua na maisha aliyekuwa mbunge wa Nkenge Nazir Mustafa Karamagi na Salim Mohammed Salim wameamua kuanzisha kampuni ya mawasilino kuwa mshindani wa Voda,Tigo,Airtel,zantel,sasatel,n.k.
Binafsi naona wamedhamiria kuitumia nafasi ya kuwa mwekezaji wa ndani Tanzania. Iki ni chanzo kingine kwa serikali kuweza kupata kodi kwa kuwa makampuni haya ya mobile services yanalipa kodi ya Kutosha.
Kampuni imesajiliwa kwa jina la 4G mobile ltd,yenye anuani P.o Box 40426 Dar es Salaam.
Wanahisa ni wafuatao na hisa zao
1. Hama rasshid Mohamed(0.6)
2. Nazir Mustafa Karamagi (57.5)
3. Joseph Mlangila Mfugale (0.8)
4. Vitus Joseph Mfugale(0.006)
5. Kisia Omari Almassi (0.006)
Amos george Khoma(0.006)
6. Salim Mohammed Salim (20.8)
7. Said Rashid Othman(13)
8. Selleman S. mvungi (0.06)
9. Zacharia Hans Poppe (5.9)
10. Shaa Hassan Mahady
11. Semiit CO.ltd (0.006)
11. Liberty Commercial Agency(0.03)
8.


Huu ndo wiz wa hela zetu serikali inashindwa kuzichukua jamaa anaamua kuzitumia
 
Katika harakati za kujikwamua na maisha aliyekuwa mbunge wa Nkenge Nazir Mustafa Karamagi na Salim Mohammed Salim wameamua kuanzisha kampuni ya mawasilino kuwa mshindani wa Voda,Tigo,Airtel,zantel,sasatel,n.k.
Binafsi naona wamedhamiria kuitumia nafasi ya kuwa mwekezaji wa ndani Tanzania. Iki ni chanzo kingine kwa serikali kuweza kupata kodi kwa kuwa makampuni haya ya mobile services yanalipa kodi ya Kutosha.
Kampuni imesajiliwa kwa jina la 4G mobile ltd,yenye anuani P.o Box 40426 Dar es Salaam.
Wanahisa ni wafuatao na hisa zao
1. Hama rasshid Mohamed(0.6)
2. Nazir Mustafa Karamagi (57.5)
3. Joseph Mlangila Mfugale (0.8)
4. Vitus Joseph Mfugale(0.006)
5. Kisia Omari Almassi (0.006)
Amos george Khoma(0.006)
6. Salim Mohammed Salim (20.8)
7. Said Rashid Othman(13)
8. Selleman S. mvungi (0.06)
9. Zacharia Hans Poppe (5.9)
10. Shaa Hassan Mahady
11. Semiit CO.ltd (0.006)
11. Liberty Commercial Agency(0.03)
8.
Hawa ndio Lion ShareHolders!...

Jamaa ameamua ku'diversify biashara ili aendelee kuwa bouyant!
Anyway, this is promising-good News to we Consumers!
 
hapo lazima RA yumo!kila mahali alipo karamagi kama TICTS na SEACOM ROSTAM HAKOSEKANI.atakuja kuwa ndiye kapewa power of attorney!huyo salim moh salim huenda hata e exist!ni mtu mwingine kajificha
 
Na nyie mna wivu wa kutosha. Mwacheni aanzishe, nyie kila kitu fedha zenu fedha zenu. ahh tumechoka na uvivu huu
 
Nilipoona jina la Salim pamoja na Karamagi nilipata mshituko......nikaanza kujiuliza SAS amepotea njia? Kumbe ni Salim Mohammed Salim
 
Mtagundua kitu kimoja, mafisadi wameaumua kumiliki vyombo vya habari na mawasiliano ili waweze kuamua nini msikie na nini muweze au msiweze kuwasiliana. Mnakumbuka kampeni ya changia chadema kwa sms ilikumbwa na nini?


Katika harakati za kujikwamua na maisha aliyekuwa mbunge wa Nkenge Nazir Mustafa Karamagi(CCM) na Salim Mohammed Salim wameamua kuanzisha kampuni ya mawasilino kuwa mshindani wa Voda,Tigo,Airtel,zantel,sasatel,n.k.
Binafsi naona wamedhamiria kuitumia nafasi ya kuwa mwekezaji wa ndani Tanzania. Iki ni chanzo kingine kwa serikali kuweza kupata kodi kwa kuwa makampuni haya ya mobile services yanalipa kodi ya Kutosha.
Kampuni imesajiliwa kwa jina la 4G mobile ltd,yenye anuani P.o Box 40426 Dar es Salaam.
Wanahisa ni wafuatao na hisa zao
1. Nazir Mustafa Karamagi (57.5)
2. Salim Mohammed Salim (20.8)
3. Said Rashid Othman (13)
4. Joseph Mlangila Mfugale (0.8)
5. Vitus Joseph Mfugale(0.006)
6. Kisia Omari Almassi (0.006)
7.Amos george Khoma (0.006)
Selleman S. mvungi (0.06)
8. Hama rasshid Mohamed(0.6)
9. Zacharia Hans Poppe (5.9)
10. Shaa Hassan Mahady
11. Semiit CO.ltd (0.006)
12. Liberty Commercial Agency(0.03)
Kutokana na sheria za mawasiliano,sec.8 Electrnic and and Poastal communication Act No.3 2010 raia anaweza kushauri vyovyote kuhusu ndani ya siku 14 kwa ajili ya kujiridhisha kuwa TCRA itoe leseni au la na wazo ilo litafikiriwa, email dg@tcra.go.tz.
Nafurahi kuleta ujumbe huu kwa jamii yangu na familia yetu ya JF.
Kwa kupata mshindani huyu, nadhani gharama za mawasiliano zitazidi kushuka na mwananchi kupunguza makali ya maisha kwa kuwa asilimia 10 ya matumizi ya kila siku ya watu waishio katika majiji ya Tanzania huishia ktk mawasiliano. Nawasilisha.
 
Kwa ukweli akuna kampuni zinazotuibia hela zetu kama za simu ..asikwambie mtu ndugu yangu
 
Katika harakati za kujikwamua na maisha aliyekuwa mbunge wa Nkenge Nazir Mustafa Karamagi(CCM) na Salim Mohammed Salim wameamua kuanzisha kampuni ya mawasilino kuwa mshindani wa Voda,Tigo,Airtel,zantel,sasatel,n.k.
Binafsi naona wamedhamiria kuitumia nafasi ya kuwa mwekezaji wa ndani Tanzania. Iki ni chanzo kingine kwa serikali kuweza kupata kodi kwa kuwa makampuni haya ya mobile services yanalipa kodi ya Kutosha.
Kampuni imesajiliwa kwa jina la 4G mobile ltd,yenye anuani P.o Box 40426 Dar es Salaam.
Wanahisa ni wafuatao na hisa zao
1. Nazir Mustafa Karamagi (57.5)
2. Salim Mohammed Salim (20.8)
3. Said Rashid Othman (13)
4. Joseph Mlangila Mfugale (0.8)
5. Vitus Joseph Mfugale(0.006)
6. Kisia Omari Almassi (0.006)
7.Amos george Khoma (0.006)
Selleman S. mvungi (0.06)
8. Hama rasshid Mohamed(0.6)
9. Zacharia Hans Poppe (5.9)
10. Shaa Hassan Mahady
11. Semiit CO.ltd (0.006)
12. Liberty Commercial Agency(0.03)
Kutokana na sheria za mawasiliano,sec.8 Electrnic and and Poastal communication Act No.3 2010 raia anaweza kushauri vyovyote kuhusu ndani ya siku 14 kwa ajili ya kujiridhisha kuwa TCRA itoe leseni au la na wazo ilo litafikiriwa, email dg@tcra.go.tz.
Nafurahi kuleta ujumbe huu kwa jamii yangu na familia yetu ya JF.
Kwa kupata mshindani huyu, nadhani gharama za mawasiliano zitazidi kushuka na mwananchi kupunguza makali ya maisha kwa kuwa asilimia 10 ya matumizi ya kila siku ya watu waishio katika majiji ya Tanzania huishia ktk mawasiliano. Nawasilisha.
Ahaaa ahaaa you must be kiddin me.
 
Ni vizuri wameamua kuwekeza TZ. Watu watapata ajira ya kuuza vocha badala ya kuficha visenti huko UK kama wanavyofanya wengine!
 
Katika harakati za kujikwamua na maisha aliyekuwa mbunge wa Nkenge Nazir Mustafa Karamagi(CCM) na Salim Mohammed Salim wameamua kuanzisha kampuni ya mawasilino kuwa mshindani wa Voda,Tigo,Airtel,zantel,sasatel,n.k.
Binafsi naona wamedhamiria kuitumia nafasi ya kuwa mwekezaji wa ndani Tanzania. Iki ni chanzo kingine kwa serikali kuweza kupata kodi kwa kuwa makampuni haya ya mobile services yanalipa kodi ya Kutosha.
Kampuni imesajiliwa kwa jina la 4G mobile ltd,yenye anuani P.o Box 40426 Dar es Salaam.
Wanahisa ni wafuatao na hisa zao
1. Nazir Mustafa Karamagi (57.5)
2. Salim Mohammed Salim (20.8)
3. Said Rashid Othman (13)
4. Joseph Mlangila Mfugale (0.8)
5. Vitus Joseph Mfugale(0.006)
6. Kisia Omari Almassi (0.006)
7.Amos george Khoma (0.006)
Selleman S. mvungi (0.06)
8. Hama rasshid Mohamed(0.6)
9. Zacharia Hans Poppe (5.9)
10. Shaa Hassan Mahady
11. Semiit CO.ltd (0.006)
12. Liberty Commercial Agency(0.03)
Kutokana na sheria za mawasiliano,sec.8 Electrnic and and Poastal communication Act No.3 2010 raia anaweza kushauri vyovyote kuhusu ndani ya siku 14 kwa ajili ya kujiridhisha kuwa TCRA itoe leseni au la na wazo ilo litafikiriwa, email dg@tcra.go.tz.
Nafurahi kuleta ujumbe huu kwa jamii yangu na familia yetu ya JF.
Kwa kupata mshindani huyu, nadhani gharama za mawasiliano zitazidi kushuka na mwananchi kupunguza makali ya maisha kwa kuwa asilimia 10 ya matumizi ya kila siku ya watu waishio katika majiji ya Tanzania huishia ktk mawasiliano. Nawasilisha.

hajavunja sheria, i dont see any problem
 
mm sioni ubaya as long ni wa Tz,and they ll pay all Taxes.jmani imefikia pahali tusapoti wa TZ wenzetu
 
Back
Top Bottom