Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
Katika harakati za kujikwamua na maisha aliyekuwa mbunge wa Nkenge Nazir Mustafa Karamagi(CCM) na Salim Mohammed Salim wameamua kuanzisha kampuni ya mawasilino kuwa mshindani wa Voda,Tigo,Airtel,zantel,sasatel,n.k.
Binafsi naona wamedhamiria kuitumia nafasi ya kuwa mwekezaji wa ndani Tanzania. Iki ni chanzo kingine kwa serikali kuweza kupata kodi kwa kuwa makampuni haya ya mobile services yanalipa kodi ya Kutosha.
Kampuni imesajiliwa kwa jina la 4G mobile ltd,yenye anuani P.o Box 40426 Dar es Salaam.
Wanahisa ni wafuatao na hisa zao
1. Nazir Mustafa Karamagi (57.5)
2. Salim Mohammed Salim (20.8)
3. Said Rashid Othman (13)
4. Joseph Mlangila Mfugale (0.8)
5. Vitus Joseph Mfugale(0.006)
6. Kisia Omari Almassi (0.006)
7.Amos george Khoma (0.006)
Selleman S. mvungi (0.06)
8. Hama rasshid Mohamed(0.6)
9. Zacharia Hans Poppe (5.9)
10. Shaa Hassan Mahady
11. Semiit CO.ltd (0.006)
12. Liberty Commercial Agency(0.03)
Kutokana na sheria za mawasiliano,sec.8 Electrnic and and Poastal communication Act No.3 2010 raia anaweza kushauri vyovyote kuhusu ndani ya siku 14 kwa ajili ya kujiridhisha kuwa TCRA itoe leseni au la na wazo ilo litafikiriwa, email dg@tcra.go.tz.
Nafurahi kuleta ujumbe huu kwa jamii yangu na familia yetu ya JF.
Kwa kupata mshindani huyu, nadhani gharama za mawasiliano zitazidi kushuka na mwananchi kupunguza makali ya maisha kwa kuwa asilimia 10 ya matumizi ya kila siku ya watu waishio katika majiji ya Tanzania huishia ktk mawasiliano. Nawasilisha.
Binafsi naona wamedhamiria kuitumia nafasi ya kuwa mwekezaji wa ndani Tanzania. Iki ni chanzo kingine kwa serikali kuweza kupata kodi kwa kuwa makampuni haya ya mobile services yanalipa kodi ya Kutosha.
Kampuni imesajiliwa kwa jina la 4G mobile ltd,yenye anuani P.o Box 40426 Dar es Salaam.
Wanahisa ni wafuatao na hisa zao
1. Nazir Mustafa Karamagi (57.5)
2. Salim Mohammed Salim (20.8)
3. Said Rashid Othman (13)
4. Joseph Mlangila Mfugale (0.8)
5. Vitus Joseph Mfugale(0.006)
6. Kisia Omari Almassi (0.006)
7.Amos george Khoma (0.006)
Selleman S. mvungi (0.06)
8. Hama rasshid Mohamed(0.6)
9. Zacharia Hans Poppe (5.9)
10. Shaa Hassan Mahady
11. Semiit CO.ltd (0.006)
12. Liberty Commercial Agency(0.03)
Kutokana na sheria za mawasiliano,sec.8 Electrnic and and Poastal communication Act No.3 2010 raia anaweza kushauri vyovyote kuhusu ndani ya siku 14 kwa ajili ya kujiridhisha kuwa TCRA itoe leseni au la na wazo ilo litafikiriwa, email dg@tcra.go.tz.
Nafurahi kuleta ujumbe huu kwa jamii yangu na familia yetu ya JF.
Kwa kupata mshindani huyu, nadhani gharama za mawasiliano zitazidi kushuka na mwananchi kupunguza makali ya maisha kwa kuwa asilimia 10 ya matumizi ya kila siku ya watu waishio katika majiji ya Tanzania huishia ktk mawasiliano. Nawasilisha.