Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
- Avunja ndoa ya mkuu wa wilaya kwa kufanya mapenzi na mkewe
- Anafanya urafiki na mwenye mke kisha anamgeuzia kibao
Mbunge wa ukoba vijijini ccm MH NAZIR KARAMAGI anatuhumiwa kudandia wake za watu baada ya kukimbiwa na mkewe mrusi imedhihirika wazi kwa kuvunja ndoa ya mkuu wa wilaya moja ya mkoani kigoma,habari zilizotufikia zimeeleza kwa muda mrefu mh karamagi amekuwa na tabia ya kudandia wake za watu hasa kwa kutumia pesa aliokuwa nayo na hasa kwa kutumia chambo cha ajira katika kampuni zake mbalimbali ikiwamo ile ya kuondoa makontena TICTS.
Kwa mujibu wa habari hizo mh Karamagi anaelezwa ni mmoja wa vigogo wanaodaiwa kuwa vicheche na walafi ambao wamekuwa wakidandia wake za watu baadhi wakiwa ni wale anaowasaidia ama kuwa karibu na waume zao.
Mfano hali ni tukio la karibuni ambalo karamagi anahusishwa nalo ni lile la kuharibu ndoa ya mkuu wa wilaya kijana kwa kumrubuni mke wa kijana huyo kwa kumpa kazi TICTS
::"""HUYO MZEE(KARAMAGI) NI MLAFI MKUBWA WA WAKE ZA WATU alimpenda huyo binti so what he did akaamua kumpa kazi TICTS then akampa custody tour abroad,nyumba fulfurnished iliandaliwa ili afikie apo anaeleza mdogo wa mke wa dada huyo..inaelezwa mipando ilisukwa wakati mke huyo wqa mkuu wa wilaya anatoka safari lakini bahati mbaya zilivuja kwa mumewe kuhusu tarehe ya kurudina yeye kuamini mkewe alitaka kumshtukiza suprise,
Mashuhuda wanasema kwamba siku ya kuwasili mwanamke huyo karamagi alikuwepouwanja wa ndege sambamba na mumewe na kumlazimu mke huyo wa mkuu wa wilaya kubabaika na hivyo kulazimisha kwenda kwa mumewe alipokaa.
Hata hivyo hbari zikaeleza kwambafamilia ya kigogo mwingine ilitumika kumtoa mke huyo alikopelekwa na mumewe kwa kisingizio cha kuwa na mahusiano ya kindugu na badaye mwanamke huyo alichukuliwa na Karamagi.
Kwa mujibu wa mfanyakazi mmoja wa TICTS karamagi alifanikisha safari za uingereza kwa kisingizio cha kwenda kusoma lakini wakiwa wanakutana kwa mambo yao binafsi kwa nyakati tofauti.
Habari zaidi zinasema Mh. Karamagi anaendelea kula vya ofisini kwake baada ya kuamua kumrukia mwanamke mmoja wa kizungu anaefanya kazi kwenye kampuni yake ya kukopesha pale mbele ya BRITISH council.
swali je karamagi anaendelea na huyo kicheche???
je mumewe ameshaoa??
je alikuwemo katika list ya wabunge kupima ngoma??
je kwa style hii ya CCM wabunge na wakuu wa wilaya wangapi watakufa na
""""""""""UKIMWI"""""""""""""""""
JE NI WABUNGE WANGAPI WANASAMBAZA UKIMWI KWA DIZAINI YA KARAMAGI
KUNA UMUHIMU WA KUENDELEA KUPIGA KELELE YA UKIMWI BUNGENI WAKATI WAHUSIKA WANADIRIKI KULA WAKE ZA VIONGOZI WENZAO?????
CCM No 1,HADI WAKE ZA WATU ,chonde nyie wanaume mlio na wake zenu dodoma bungeni polen sana haya ndio mambo na uchafu unaofanyika huko bungeni,,,,muda tutawaletea MCHAKATO WA john komba na WABUNGE WA KIKE!!!!