Karakana kuu ya Serikali (MT.DEPOT) iko katika hali ngumu, serikali iingilie kati kuinisuru

Mp19

JF-Expert Member
May 3, 2019
259
715
Habarini!
Najua humu ndani wapo watumishi wa na mabosi wa vizara ya ujenzi na TEMESA.

Nimefanya survey ya juujuu tu ndani ya karakana hii iliyopo KEKO MWANGA karibu na MSD inayomilikiwa na serikali kwa 100% na kugundua mapungufu mengi.

Kimtazamo tu huwezi kuamini kuwa ndio garage kuu ya serikali, mazingira yako rafu, huduma rafu na watumishi wamechoka.

Serikali, hasa wizara inayohusika na TEMESA nendeni mkaikague kwa undani, tumeni vibaraka wakaikague kisirisiri muone kinachoendelea.

Kama kuifufua haiwekani basi muibinafsishe kuliko aibu ile.
Aaante.
 
Hiyo sio karakana. That is a cemetry of govt vehicles which are broken beyond repair and ready to be scrapped or sold...
Hakuna gari inayoenda pale ikatoka 'inatembea'...
 
Hiyo sio karakana. That is a cemetry of govt vehicles which are broken beyond repair and ready to be scrapped or sold...
Hakuna gari inayoenda pale ikatoka 'inatembea'...
Unajua unachokizungumza?
Pale magari yanaingia karibu kila siku na kutoka, yapo yanayofanyia service ndogo, mengine service kubwa na mengine kutengenezwa na kupona ingawa utengenezwaji wake huchukua muda mwingi. Muda mwingine unapeleka gari unaambiwa usubiri, unasubiri hata mwezi kumbe brake pads tu ndo tatizo.
 
Hiyo sio karakana. That is a cemetry of govt vehicles which are broken beyond repair and ready to be scrapped or sold...
Hakuna gari inayoenda pale ikatoka 'inatembea'...
Mtu ameenda siku moja tayari kashaconclude kuwa karakana mbovu.sasa hivi pale wanaweka mfumo wa kukontro magari yote ya serikali na kwa kipindi hiki hakuna kupeleka gari ya serikali kwenye karakana yoyote ile binafsi isipokuwa kwa ruhusa maalum.zamani watu walikuwa wanapeleka bili tu gari flani mwezi huu imetumia mil kadhaa kwa matengenezo kumbe hamna lolote watu wanapiga tu.sasa hivi pale gari itakuwa monitored kuanzia inapoingia getini na Kila inapopita unaingiza data kwenye system na Kila kifaa kinachobadilishwa kinaonyeshwa Hadi kililipochukuliwa na sababu kwa Nini kimebadilishwa.siku hizi pale hakuna ujanja ujanja ndio maana tutawasikia wengi Sana wakilalamika.endeleeni kulalamika mifumo inakuja soon ya kukontro gari zote za serikali so itakuwa hakuna Cha kusema sijui mwezi huu nimetumia mafuta kiasi flani wakati ni uongo,Kila kitu Kila muda gari ya serikali itajulikana ipo wapi na inafanya Nini!mtamchukia Sana jamaa awamu hii lakini anapambana kumdhibiti matumizi ya hovyo ya Mali za Uma,japo inaumiza wengi lakini ndio uhalisia wenyewe huo.
 
Unajua unachokizungumza?
Pale magari yanaingia karibu kila siku na kutoka, yapo yanayofanyia service ndogo, mengine service kubwa na mengine kutengenezwa na kupona ingawa utengenezwaji wake huchukua muda mwingi. Muda mwingine unapeleka gari unaambiwa usubiri, unasubiri hata mwezi kumbe brake pads tu ndo tatizo.
Uko sahihi coz ni kweli pale Kuna changamoto ya malipo kwa wazabuni so unakuta sometimes wanagoma kutoa vifaa Hadi walipwe Kwanza madeni yao ndo unakuta gari inakaa muda mrefu.jamaa amesaidia Sana ndio maana kabla yake shangingi zilikuwa zinanunuliwa mil 400 na zaidi kumbe Bei halisi ni chini ya mil mia.matengenezo yake Sasa kwa mwezi anaenda likuwa kufuru na walipendelea kupeleka karakana binafsi walipokuwa wanacheza michezo yao hiyo ya ulaji.
 
We mtu mzima naamini unazaid ya 40+ years hapa duniani zikija mada zinazoitaji kutumia akili nawe jaribu kutumia akili sio kila muda n upuuz
Mpuuzi ni nani? Mimi au yule ambaye aliwatimua wanunuzi wa korosho kisha serikali kuu ikakosa mapato, halmashauri zikakosa ushuru wa korosho, wakulima wakakosa pesa na korosho zenyewe zinaozea kwenye maghala?
Kabla hujanyanyua hilo domo lako kubwa kama dishi la futi nane, utafakari kwanza.
 
Mpuuzi ni nani? Mimi au yule ambaye aliwatimua wanunuzi wa korosho kisha serikali kuu ikakosa mapato, halmashauri zikakosa ushuru wa korosho, wakulima wakakosa pesa na korosho zenyewe zinaozea kwenye maghala?
Kabla hujanyanyua hilo domo lako kubwa kama dishi la futi nane, utafakari kwanza.


We n mzaramo mzee au n mmama?
 
Back
Top Bottom