karaha na mazuri ya sehemu za maakuli

queenkami

JF-Expert Member
Feb 8, 2010
1,599
1,025
hey guyz.najua mtu unapokua kazini au ktk mihangaiko yako ya kila siku kuna mahala fulani unakwenda kupata lunch.sasa swali langu ni kwamba je hapo mahali unapokula lunch yako ni kitu/vitu gani vinavyokukera kiasi cha kujikuta unakula hapo basi tu lkn hufurahii na ni vitu gani vinakufurahisha.
thanx.
 
Back
Top Bottom