hey guyz.najua mtu unapokua kazini au ktk mihangaiko yako ya kila siku kuna mahala fulani unakwenda kupata lunch.sasa swali langu ni kwamba je hapo mahali unapokula lunch yako ni kitu/vitu gani vinavyokukera kiasi cha kujikuta unakula hapo basi tu lkn hufurahii na ni vitu gani vinakufurahisha.
thanx.
thanx.