Karagwe: Mkuu wa Wilaya aamuru kijana wa miaka 12 ashikiliwe na Jeshi la Polisi kwa kosa la kupandisha bendera ya Canada kwenye makazi

geesten66

JF-Expert Member
Sep 14, 2017
1,523
1,432
Habari .
Leo mtaani amekuja mkuu wa wilaya pamoja na jeshi la polisi kumkamata mtoto wa miaka 12 Ambaye anaishi na kaka yake kwa kosa kupandisha bendera ya Canada kwenye mti ambao upo hapo nyumbani kwa huyo mtoto.

Baada ya kumkosa kaka wa huyo kijana wakamchukuwa mtoto nakumuweka Ndani.

Mnaojua sheria kuweka Bendera ya nchi nyingine nyumbani kwako ni kosa?.
 
Kuna makosa ambayo mtoto chini ya miaka 12 hawezi kushtakiwa nayo, na hawezi kufungwa (anakua na kinga). Ni sawa na mtoto wa chini ya miaka 8 hata akiua (murder) hawezi akafungwa ana kinga ya umri.

Pili, huyo mkuu wa wilaya hana hekima wala busara wala taaluma ya utawala bora, mtoto kama huyo kwa kosa hilo anapaswa kukemewa tu, ingetosha kujirekebisha.

**Na kuna madhara gani kuweka bendera kama hio ya Canada kwenye mti (ukizingatia alieweka ni mtoto, ambae anaweza akawa hata SHABIKI tu wa hio nchi, au pengine hata haijui hio nchi ilipo duniani wala kuandika jina lake halijui)???

**Unamjenga vipi mtoto huyo ki mapenzi na nchi yake kwa kumweka ndani???

**Unamuandalia mazimgira gani kisaikolojia akikua (kama umri huo usha mtengenezea CV ya kuwahi kukaa rumande)???

NB Tatizo kupewa madaraka bila kua na utiifu wa sheria, uongozi na utawala bora. Unafanya vitu kwa mazoea sio kwa kufata sheria za nchi.
 
Habari .
Leo mtaani Amekuja mkuu wa wilaya pamoja na jeshi la polisi kumkamata mtoto wa miaka 12 Ambaye anaishi na kaka yake. Kosa kupandisha bendera ya Canada kwenye mti ambao upo hapo nyumbani kwa uyo mtoto. Baada ya kumkosa kaka wa huyo kijana wakamchukuwa mtoto nakumuweka Ndani.
Mnao juwa sheria kuweka Bendera ya nchi nyengine nyumbani kwako ni kosa?.
Mtoto wa miaka12 hajafikisha age of majority kujua mema na mabaya bado, sasa akamatwe vipi wakati mtoto?
 
sizani kama habari hii ni kweli maana tuliaminishwa kwa madc na marc mwenye madaftar machache ni bashite peke yake

Ila kama ni kweli basi atoe kichwa chake kisafirishwe kikapimwe kwa mkemia mkuu na kuwe na mrejesho humu jf juu ya hali ya afya yake ya akili
 
Kuna makosa ambayo mtoto chini ya miaka 12 hawezi kushtakiwa nayo, na hawezi kufungwa (anakua na kinga). Ni sawa na mtoto wa chini ya miaka 8 hata akiua (murder) hawezi akafungwa ana kinga ya umri.

Pili, huyo mkuu wa wilaya hana hekima wala busara wala taaluma ya utawala bora, mtoto kama huyo kwa kosa hilo anapaswa kukemewa tu, ingetosha kujirekebisha.

**Na kuna madhara gani kuweka bendera kama hio ya Canada kwenye mti (ukizingatia alieweka ni mtoto, ambae amaweza akawa hata shabiki tu wa hio nchi)???

**Unamjenga vipi mtoto huyo ki mapenzi na nchi yake kwa kumweka ndani???

**Unamuandalia mazimgira gani kisaikolojia akikua (kama umri huo usha mtengenezea CV ya kuwahi kukaa rumande)???

NB Tatizo kupewa madaraka bila kua na utiifu wa sheria, uongozi na utawala bora. Unafanya vitu kwa mazoea sio kwa kufata sheria za nchi.


Nenda Canada kaweke bendera ya Tanzania mbele ya nyumba yako uone jibu lake.
 
Nenda Canada kaweke bendera ya Tanzania mbele ya nyumba yako uone jibu lake.
Hilo halihalalishi kumfunga mtoto.

Halafu Canada is a liberal country full of immigrants, watu wanaweka bendera za nchiwalizotoka, hizo issue mnavalia njuga huko tu.

Mimi nakaa Marekani nikiweka Bendera ya Tanzania nje kwangu ndiyo kwanza majirani wanaanza kuniuliza hiyo ndiyo bendera ya kwenu ulikozaliwa?

Haina tabu kabisa.

Watu wanafanya heshima tu, anaweka bendera ya kwao na ya Marekani.

Lakini ukienda sehemu kama Bronx, New York, watu wanaweka bendera za nchi walizozaliwa kuandia kwenye nyumba mpaka magari.

Nchi zilizoendelea zinaangaliamambo makubwa, kama kuwapatiawatu kazi, kuzalisha kwenye uchumi.

Ujinga ujinga unapotezanguvukazi.

Kama hapo polisi inamshikilia mtoto ana miaka 12 kwa kupeperusha bendera, ina maana kuna mtu ana kesi yake polisi haijasikilizwa kwa sababu polisi wanafuatilia ujinga huu.
 
Hilo halihalalishi kumfunga mtoto.

Halafu Canada is a liberal country full of immigrants, watu wanaweka bendera za nchiwalizotoka, hizo issue mnavalia njuga huko tu.

Mimi nakaa Marekani nikiweka Bendera ya Tanzania nje kwangu ndiyo kwanza majirani wanaanza kuniuliza hiyo ndiyo bendera ya kwenu ulikozaliwa?

Haina tabu kabisa.

Watu wanafanya heshima tu, anaweka bendera ya kwao na ya Marekani.

Lakini ukienda sehemu kama Bronx, New York, watu wanaweka bendera za nchi walizozaliwa kuandia kwenye nyumba mpaka magari.

Nchi zilizoendelea zinaangaliamambo makubwa, kama kuwapatiawatu kazi, kuzalisha kwenye uchumi.

Ujinga ujinga unapotezanguvukazi.

Kama hapo polisi inamshikilia mtoto ana miaka 12 kwa kupeperusha bendera, ina maana kuna mtu ana kesi yake polisi haijasikilizwa kwa sababu polisi wanafuatilia ujinga huu.


Nasisitiza tena, huyu mtoto afungwe hata miezi 6 kwa kosa la kuidhalilisha nchi yetu. Hapa ni Tanzania unataka kuwa Mcanada hamia huko, hatutaki ujinga sie. Tanzania kwanza wengine baadaye, hutaki hama nchi.
 
Habari .
Leo mtaani amekuja mkuu wa wilaya pamoja na jeshi la polisi kumkamata mtoto wa miaka 12 Ambaye anaishi na kaka yake kwa kosa kupandisha bendera ya Canada kwenye mti ambao upo hapo nyumbani kwa huyo mtoto.

Baada ya kumkosa kaka wa huyo kijana wakamchukuwa mtoto nakumuweka Ndani.

Mnaojua sheria kuweka Bendera ya nchi nyingine nyumbani kwako ni kosa?.

Akili chafu ama matope.....hawa viongozi wanapaswa wajitambue haraka sana na waachane na siasa maji taka...magari mangapi Dar watu wameweka bendera za mataifa mengine!? Kama Israel, USA. Zamani wakati watu walikuwa wanavaaa bendera za USA kichwani...they barley understand freedoms rights of citizens...
 
Habari .
Leo mtaani amekuja mkuu wa wilaya pamoja na jeshi la polisi kumkamata mtoto wa miaka 12 Ambaye anaishi na kaka yake kwa kosa kupandisha bendera ya Canada kwenye mti ambao upo hapo nyumbani kwa huyo mtoto.

Baada ya kumkosa kaka wa huyo kijana wakamchukuwa mtoto nakumuweka Ndani.

Mnaojua sheria kuweka Bendera ya nchi nyingine nyumbani kwako ni kosa?.
Kisheria haitakiwi kumkatama mtu mwingine mbadala wa yule mwenye hatia.
 
Back
Top Bottom