Nimepost kuwataarifu CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KIMESHINDA KARAGWE ILA IYO POST SIIONI. NI HABARI YA KWELI KABISA
Matokeo yametangazwa na sherehe zimeanza kuelekea nyumbani kwa mh Mbuge uko Kituntu Mabira!
Nimepost kuwataarifu CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KIMESHINDA KARAGWE ILA IYO POST SIIONI. NI HABARI YA KWELI KABISA
Matokeo yametangazwa na sherehe zimeanza kuelekea nyumbani kwa mh Mbuge uko Kituntu!
Yeah, ni kweli ni vizuri tukatoa habari ambazo ni confirmed, tusije tukaanza kushangilia kitu ambacho hatuna uhakika nacho...baadaye inauma sana...hasa pale tunapongundua habari haikuwa ya ukweli..lets be serious..Ningeomba JF Members mposti habari ambazo ni confirmed. vinginevyo ziwe ni TETESI.
Matokeo yametangazwa na ni wadogo zangu ambao wapo wanasherekea makao makuu tumeongea. Ni 100% reliable source