Elections 2010 Karagwe bado kutangazwa

Agumisa

Member
Nov 1, 2010
21
2
jamani tangujuzi matokeo hapa yalikuwa tayari bt baada ya kufika ksir george kahama mambo yamebadilika,watu jana walipigwa mabomu wakajeruhiwa lakini mda huu bado watu wamejaa niko hapa tangu jana nitawapa up dates kwa lolote
 
This part of den of thieves "CCM", are up to rig the results, once again i say they should be purged and their history be deleted with the exception of the history of our founding father of the nation J.K.Nyerere
 
Hawataki kuongeza majimbo mengi ya upinzani bungeni,na hili ni somo kwa hawa mafisadi (thithiemu) kwamba wananchi tumechoka na vitendo vyao vya kipumbavu na kutufanya sisi wajinga.
 
Back
Top Bottom