jamani tangujuzi matokeo hapa yalikuwa tayari bt baada ya kufika ksir george kahama mambo yamebadilika,watu jana walipigwa mabomu wakajeruhiwa lakini mda huu bado watu wamejaa niko hapa tangu jana nitawapa up dates kwa lolote
This part of den of thieves "CCM", are up to rig the results, once again i say they should be purged and their history be deleted with the exception of the history of our founding father of the nation J.K.Nyerere
Hawataki kuongeza majimbo mengi ya upinzani bungeni,na hili ni somo kwa hawa mafisadi (thithiemu) kwamba wananchi tumechoka na vitendo vyao vya kipumbavu na kutufanya sisi wajinga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.