Makangarawe
Senior Member
- Nov 19, 2013
- 101
- 24
Mhe kapuya,nakupa heshima yako mzee wangu,hongera sana kwa kushika nyadhifa mbalimbali ndani ya serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania,Nchi ya watu wapole wanaovumilia maovu,
Mhe ndugu yangu mnyamwezi mwenzangu mtoto wa nyumbani,kosa ulilotenda gizani liko kwenye mwanga sasa,hiyo ni kawaida kabisa,sababu nuru na giza havipatani,ulikuwa ni kondoo ulievaa ngozi ya Mbwa mwitu,usikivike chama tawala dhambi,hiyo ni dhambi yako mwenyewe wapaswa kuubeba msalaba wako mwenyewe,usiichafue serikali,Mi nakushauri kama wewe ni mzee muungwana huenda Mungu anakuhitaji,ametumia mbinu hii umrudie,omba radhi watanzania na Mungu atakusamehe,na pia familia yako itakusamehe!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Mhe ndugu yangu mnyamwezi mwenzangu mtoto wa nyumbani,kosa ulilotenda gizani liko kwenye mwanga sasa,hiyo ni kawaida kabisa,sababu nuru na giza havipatani,ulikuwa ni kondoo ulievaa ngozi ya Mbwa mwitu,usikivike chama tawala dhambi,hiyo ni dhambi yako mwenyewe wapaswa kuubeba msalaba wako mwenyewe,usiichafue serikali,Mi nakushauri kama wewe ni mzee muungwana huenda Mungu anakuhitaji,ametumia mbinu hii umrudie,omba radhi watanzania na Mungu atakusamehe,na pia familia yako itakusamehe!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums