Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Wakuu mtoto yeyote anarubunika ndio maana mtoto anapewa ulinzi mkubwa sana kisheria.Huyo binti ameanza kurubuniwa akiwa na umri wa miaka 14.
Naomba zinapokuja mada za mambo ya kusikitisha kama hivi tuwe serious kidogo maana huwezi jua kesho binti yako atafanywa nini bila wewe kujua.Huyo binti ni yatima na hakuna anayejua anaishije na kwa umri wake mdogo angewezaje kuruka mtego wa mtu mzima kama yule tena akiwa kiongozi mkubwa wa serikali.
Tuache utani kwenye mada sensitive kama hizi maana hapa JF ndio mahala pekee pa kudiscuss issues kwa mapana na wasomaji ni wengi.
Mungu na anisamehe.
Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana.