Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,638
Kwa hiyo ndo kashakanyaga miwaya. Mimi na wewe leo twende Angaza nikakupime.
Thread closed!!
we unadhani kondom ilihusika!!!!!!!!!
rejea ule wimbo wa Daz nundaz kisa cha marehem
Kwa hiyo ndo kashakanyaga miwaya. Mimi na wewe leo twende Angaza nikakupime.
Thread closed!!
Kabinti kalinogewa inaelekea ndo maana kakamfuata tena. Kamemaindi kalivoambiwa foma minista amewekeza kwenye gridi ya Taifa. Nani anapenda mgao wa umeme???
we unadhani kondom ilihusika!!!!!!!!!
rejea kisa cha marehem Daz nundaz
Hey my friend kumbe upo! News kama hizi zinanitoaga mafichoni!
kabakwa mara ya kwanza kwenye hoteli ya kitalii akaitwa kubakwa tena kwenye hoteli ya kitalii akaenda,watoto wa siku hizi kwa tamaa,halafu wanaweza kuyahimili mababa..
Kabinti kalinogewa inaelekea ndo maana kakamfuata tena. Kamemaindi kalivoambiwa foma minista amewekeza kwenye gridi ya Taifa. Nani anapenda mgao wa umeme???
Naomba ufafanuzi hapo kwenye red! Daz Nundaz amefariki? Nakumbuka hiki ni kikundi cha muziki, au ni mtu personally?
hahahaaaaaa hiyo habari hatare sa mi najiuliza kalienda mara ya pili kufanya nini
na sa hivi dau likapungua kutoka mia 7 hadi mia tatu hamsin
Mtoto wake pia alikuwa na kesi ya kuua lakini CCM wakaimaliza kishikaji
Hello....leo niko siasani tu..naona mengi yananipita wallahi
Kapuya mzembe sana angekaongezea dau siri isingefichuka. Anaenda kukapa benzi wakati hata leseni hakana. Afu sijui nani alimdanganya benzi inauzika. Ukinunua huo mchuma ndo ushafunga nao ndoa ya kikristu.
Mie huku ndo kwangu, ila hii mida siwezi kuvumilia hapa nasinzia.Habari za siku?