GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
- Thread starter
- #121
Nyie mnayatambua haya sababu macho yenu yanaona. SOCRATES aliwahi kuwa anatembea na TAA kubwa mchana wa jua kali.lets say saa sita. Watu wakamwona kuwa ni chizi. But aligundua wengi hawaoni ingawa wana macho. Akaamua kuwamulikia bado hawakuona
Hahaaaaa ukisoma vizuri kazi za kifasihi kwa jicho la kifasihi unafaidi mmbo mengi matamu sana yasio fahamika kwa wanaosoma kazi hizi kama magaazeti na kupita, kazi kama vile Kufikirika, Kusadikika, unaposoma kazi kadha wa kadha na kukutana na wahusika kama Bi Kirembwe, Mtolewa, Bawabu 1&2 unaweza chukulia poa but kuna mambo mazito sana yanayozungumziwa, Umewahijiuliza mhusika Bi Kirembwe ana fananishwa na nanani? Ahsate muheshimiwa