impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,732
- 7,606
Bila kusoma ukajifunza mengi ni ngumu kupambana na changamoto fikirishishule ipo kwenye kusoma vitabu na kupata mafundisho mbalimbali yale mambo ya kupewa cheti yasikuumize sana kichwa. tunafaham usomi wa mtu kwa namna anavyochangia hoja na kupembua. namna anavyotoa masuluhisho kwenye changamoto... mimi nlishaaacha kuulizia ulizia vyetu n.k kuna watu wasomi wa vyeti lakini hawana mchango wowote kwenye jamii.