Kapteni Mstaafu Robert: Sitasahau nilipohukumiwa maisha jela

Mkuu huyu anaitwa Capt. Kadego! Kama ulikuwa ukifuatilia hiyo kesi nadhani utakuwa ukiwakumbuka wengi akina rafiki yangu Marehemu Capt. Eugene Maganga, Kajaja, nk. ilikuwa kesi very interesting huku kukiwa na wakili mmoja anaitwa Lakha.

Huyu mwandishi ama ameshindwa kumuuliza Roberts maswali chokonozi ili tupate historia hiyo ama Roberts alikuwa hafunguki. Nakumbuka kuna wakati Capt. Maganga alikuwa akitoa story ya mpango wa mapinduzi kwenye gazeti la Rai. Naona Roberts amejiuma uma. Kwa mujibu wa Maganga mpango huo ulikuwepo na maganga alikiri kushirikishwa.


Muhojiwa alikuwa na nguvu kuliko muhojaji! !!!!
Zingatia jibu lake la sikumbuki shortly; wakati vingine anakumbuka vizuri tu!!!!!!


You need a strong hammer to get gravels from a rock!!!!
 
Sera za uchumi zilianza chini ya Rais Mzee Mwinyi, soon baada ya taasisi za fedha za IMF na WB kuanzisha mpango wa miaka mitano uliojulikana kama Structural Adjastiment Program (1986-1990).

Kiukweli bila Rais Mzee Mwinyi hali ilikuwa mbaya sana. Nakumbuka kipindi hicho tukiwa tungali wadogo kuna mtu alileta nyumbani mbuzi ili apewe chumvi. Dawa ya meno (Colgate) ilikuwa anasa. Kandambili anasa. Sukari anasa etc

Binafsi nawashukuru sana waliopanga hayo mapinduzi kwani bila wao Dikteta Nyerere asingeachia madaraka.

Baada ya kuona nchi imemshinda, maisha ya watu yanazidi kuwa magumu na wananchi wanauchukia utawala wake na wengine kupanga mapinduzi, ndipo Dikteta Nyerere alipolazimika kuachia madaraka huku akiyatamani.

Na kuthibitisha kuwa watu walimchoka na kuuchoka utawala wake, inasemekana kuwa katika uchaguzi mkuu wa Taifa wa mwaka 1980 na uchaguzi mkuu wa CCM wa mwaka 1982 Dikteta Nyerere alipata chini ya 50% ya kura za wapiga kura.

Ni katika kipindi cha utawala wa Dikteta Nyerere Rushwa ilizaliwa na kutamalaki nchini. Ingawa alijitahidi kujenga viwanda vya kutosha, wakuu wa mashirika ya Umma waliyafilisi mashirika hayo, na adhabu waliyopewa ilikuwa ni kuhamishwa kutoka shirika moja kwenda jingine.


Acha kupotosha watu,1980 huyo unaemuita dictator Nyerere alishinda kwa asilimia 95.5
President
Choice Votes %
For 5,570,883 95.5
Against 258,040 4.5
Invalid/blank votes 157,019 -
Total 5,985,942 100
Source: Nohlen et al.
 
Acha kupotosha watu,1980 huyo unaemuita dictator Nyerere alishinda kwa asilimia 95.5
President
Choice Votes %
For 5,570,883 95.5
Against 258,040 4.5
Invalid/blank votes 157,019 -
Total 5,985,942 100
Source: Nohlen et al.

Huyu jamaa anasema uwongo ila nimemsamehe kwa vile anakiri alikuwa mdogo kwa hiyo hajui kilichokuwa kinatokea ila amepokea hadithi za namna hiyo kwa kudakiza dakiza. SAP ilitangazwa na Malima wakati wa utawala wa Nyerere mwaka 1981 wakati huo akiwa ni waziri wa uchumi na mipango, yeye anakuja na SAP yake. Kuelekea uchaguzi wa mwaka 1980, Nyerere alitangaza kuwa atagombea mara ya mwisho hasa kwa vile alikuwa akitaka kustaafu mwaka huo ila kutokana na kuwa nchi ilikuwa imevurugika kutokana na vita haikuwa vizuri aondoke mara tu baada ya vita.
 
Huyu jamaa anasema uwongo ila nimemsamehe kwa vile anakiri alikuwa mdogo kwa hiyo hajui kilichokuwa kinatokea ila amepokea hadithi za namna hiyo kwa kudakiza dakiza. SAP ilitangazwa na Malima wakati wa utawala wa Nyerere mwaka 1981 wakati huo akiwa ni waziri wa uchumi na mipango, yeye anakuja na SAP yake. Kuelekea uchaguzi wa mwaka 1980, Nyerere alitangaza kuwa atagombea mara ya mwisho hasa kwa vile alikuwa akitaka kustaafu mwaka huo ila kutokana na kuwa nchi ilikuwa imevurugika kutokana na vita haikuwa vizuri aondoke mara tu baada ya vita.
Sikiliza!! Mwaka 1980 Dikteta Nyerere alipata kura chache sana. Kilichofanyika ni kuwa, kwa sababu ilikuwa ni ada kuwa na mgombea mmoja na wa pili anakuwa kivuli, basi wote walioweka alama ya vema ktk kivuli walihesabika kuwa wameharibu kura.

Kwa hiyo mwaka huo 1980, kura nyingi zilikwenda kwa kivuli. Ingawa matokeo rasmi yalionesha kuwa DIkteta Nyerere ameshinda kwa kishindo..baada ya kuchakachua kuficha aibu
 
Huyu jamaa anasema uwongo ila nimemsamehe kwa vile anakiri alikuwa mdogo kwa hiyo hajui kilichokuwa kinatokea ila amepokea hadithi za namna hiyo kwa kudakiza dakiza. SAP ilitangazwa na Malima wakati wa utawala wa Nyerere mwaka 1981 wakati huo akiwa ni waziri wa uchumi na mipango, yeye anakuja na SAP yake. Kuelekea uchaguzi wa mwaka 1980, Nyerere alitangaza kuwa atagombea mara ya mwisho hasa kwa vile alikuwa akitaka kustaafu mwaka huo ila kutokana na kuwa nchi ilikuwa imevurugika kutokana na vita haikuwa vizuri aondoke mara tu baada ya vita.
Kichuguu!! Rudi katika reference zako. SAP kwa Tanzania ilianza mwaka 1986 hadi 1990. Hiyo ilikuwa ni Phase 1.

Dikteta Nyerere aliiharibu sana nchi. Bahati nzuri alikuwa akiongoza taifa lililojaa wajinga
 
Kichuguu!! Rudi katika reference zako. SAP kwa Tanzania ilianza mwaka 1986 hadi 1990. Hiyo ilikuwa ni Phase 1.

Dikteta Nyerere aliiharibu sana nchi. Bahati nzuri alikuwa akiongoza taifa lililojaa wajinga
Walioongozwa na Dikteta Nyerere wakapata elimu bora bure hadi chuo kikuu, matibabu ya uhakika bure nk, na nyie mnaoongozwa na wajanja wachache waliojimilikisha utajiri wote wa nchi, wajinga ni wepi?
 
Kichuguu!! Rudi katika reference zako. SAP kwa Tanzania ilianza mwaka 1986 hadi 1990. Hiyo ilikuwa ni Phase 1.

Dikteta Nyerere aliiharibu sana nchi. Bahati nzuri alikuwa akiongoza taifa lililojaa wajinga

Ingawa hukunichagulia tusi, mimi siyo mjinga aisee. SAP ilisomwa na Professor Kighoma Malima akiwa waziri wa mipango na uchumi, na mojawapo ya mambo yaliyolaumiwa katika SAP hiyo ni kuwa alikuwa ametumia terms nyingi za Economics kwenye kuiwasilisha mbele ya Bunge kiasi kuwa wabunge wengi hawakujua zina maana gani. Ile imani ya kuwa waliosomeshwa na Nyerere wote ni wajinga nadhani ndiyo inayokufanya ung'anga'nie mambo usiyoyajua.

SAP ilipangwa kupitia Wizara ya mipango na uchumi ambayo ilikuwa imerudishwa tena mara tu baada ya vita kutokana na hali ya uchumi wakati huo; kabla ya hapo ilikuwa imeunganishwa na Wizara ya fedha. Ni kipindi hicho hicho ndipo kikao cha bajeti kilianza kuwa kinatanguliwa na hotuba ya Waziri wa Mipango na Uchumi kabla ya Waziri wa fedha, ambapo mwanoni kikao kile kilikuwa kinaanza na hotuba ya Waziri ya fedha moja kwa moja.


Inawezekana unaongelea ERP ambayo ndiyo iliyoanza mwaka mwaka 1986 lakini ikiwa imeanza kujadiliwa tangu mwishoni mwa mwaka 1984. Hivyo baada ya majadiliano ya miaka miwili ndipo ikaanza kazi mwaka i986, ikiwa ni miezi kama minne tu tangu Mwinyi ameingia madarakani. Majadiliano hayo ya ERP yaliongozwa pia na Kighoma Malima akiwa Waziri wa Mipango na Uchumi chini ya Waziri mkuu Salim.
 
Walioongozwa na Dikteta Nyerere wakapata elimu bora bure hadi chuo kikuu, matibabu ya uhakika bure nk, na nyie mnaoongozwa na wajanja wachache waliojimilikisha utajiri wote wa nchi, wajinga ni wepi?
Kutoa huduma za jamii bure hakuondoi udikteta wa kiongozi. Hata Hitler na Mussolini walitoa huduma bure na Hitler alijenga barabara bora kabisa ktk Ujerumani zinazotumika mpaka sasa. Bado udikteta wake upo pale pale. Sembuse Nyerere, bingwa wa mipango isiyotimia?

Binafsi nilifurahi sana Kamisheni ya AU ilipoamua kuondoa picha ya Nyerere katika makao makuu yake Addis Ababa hadi Membe alipoingilia kati
 
Ingawa hukunichagulia tusi, mimi siyo mjinga aisee. SAP ilisomwa na Professor Kighoma Malima akiwa waziri wa mipango na uchumi, na mojawapo ya mambo yaliyolaumiwa katika SAP hiyo ni kuwa alikuwa ametumia terms nyingi za Economics kwenye kuiwasilisha mbele ya Bunge kiasi kuwa wabunge wengi hawakujua zina maana gani. Ile imani ya kuwa waliosomeshwa na Nyerere wote ni wajinga nadhani ndiyo inayokufanya ung'anga'nie mambo usiyoyajua.

SAP ilipangwa kupitia Wizara ya mipango na uchumi ambayo ilikuwa imerudishwa tena mara tu baada ya vita kutokana na hali ya uchumi wakati huo; kabla ya hapo ilikuwa imeunganishwa na Wizara ya fedha. Ni kipindi hicho hicho ndipo kikao cha bajeti kilianza kuwa kinatanguliwa na hotuba ya Waziri wa Mipango na Uchumi kabla ya Waziri wa fedha, ambapo mwanoni kikao kile kilikuwa kinaanza na hotuba ya Waziri ya fedha moja kwa moja.


Inawezekana unaongelea ERP ambayo ndiyo iliyoanza mwaka mwaka 1986 lakini ikiwa imeanza kujadiliwa tangu mwishoni mwa mwaka 1984. Hivyo baada ya majadiliano ya miaka miwili ndipo ikaanza kazi mwaka i986, ikiwa ni miezi kama minne tu tangu Mwinyi ameingia madarakani. Majadiliano hayo ya ERP yaliongozwa pia na Kighoma Malima akiwa Waziri wa Mipango na Uchumi chini ya Waziri mkuu Salim.[/QUOTE

www.developmentgap.org/worldbank_imf/The_All_Too_visible_Hand/All_Too_Invisible_Hand_Tanzania.html
ni mojawapo ya reference. Jaribu kupitia. Tuache blah blah
 
Mkuu huyu anaitwa Capt. Kadego! Kama ulikuwa ukifuatilia hiyo kesi nadhani utakuwa ukiwakumbuka wengi akina rafiki yangu Marehemu Capt. Eugene Maganga, Kajaja, nk. ilikuwa kesi very interesting huku kukiwa na wakili mmoja anaitwa Lakha.

Huyu mwandishi ama ameshindwa kumuuliza Roberts maswali chokonozi ili tupate historia hiyo ama Roberts alikuwa hafunguki. Nakumbuka kuna wakati Capt. Maganga alikuwa akitoa story ya mpango wa mapinduzi kwenye gazeti la Rai. Naona Roberts amejiuma uma. Kwa mujibu wa Maganga mpango huo ulikuwepo na maganga alikiri kushirikishwa.

Pia alikuwepo marehemu Khatib McGhee!
 
Ingawa hukunichagulia tusi, mimi siyo mjinga aisee. SAP ilisomwa na Professor Kighoma Malima akiwa waziri wa mipango na uchumi, na mojawapo ya mambo yaliyolaumiwa katika SAP hiyo ni kuwa alikuwa ametumia terms nyingi za Economics kwenye kuiwasilisha mbele ya Bunge kiasi kuwa wabunge wengi hawakujua zina maana gani. Ile imani ya kuwa waliosomeshwa na Nyerere wote ni wajinga nadhani ndiyo inayokufanya ung'anga'nie mambo usiyoyajua.

SAP ilipangwa kupitia Wizara ya mipango na uchumi ambayo ilikuwa imerudishwa tena mara tu baada ya vita kutokana na hali ya uchumi wakati huo; kabla ya hapo ilikuwa imeunganishwa na Wizara ya fedha. Ni kipindi hicho hicho ndipo kikao cha bajeti kilianza kuwa kinatanguliwa na hotuba ya Waziri wa Mipango na Uchumi kabla ya Waziri wa fedha, ambapo mwanoni kikao kile kilikuwa kinaanza na hotuba ya Waziri ya fedha moja kwa moja.


Inawezekana unaongelea ERP ambayo ndiyo iliyoanza mwaka mwaka 1986 lakini ikiwa imeanza kujadiliwa tangu mwishoni mwa mwaka 1984. Hivyo baada ya majadiliano ya miaka miwili ndipo ikaanza kazi mwaka i986, ikiwa ni miezi kama minne tu tangu Mwinyi ameingia madarakani. Majadiliano hayo ya ERP yaliongozwa pia na Kighoma Malima akiwa Waziri wa Mipango na Uchumi chini ya Waziri mkuu Salim.[/QUOTE

IMF STRUCTURAL ADJUSTMENT POLICIES ON TANZANIAN AGRICULTURE

Hiyo ni mojawapo ya reference. Jaribu kupitia. Tuache blah blah



Frankly wewe hujui uliongealo; unapiga porojo tu, mostly driven by Anti-Nyeyerism. Vile vile nina wasiwasi na ufahamu wako unaposoma mambo kwani ungekuwa na ufahamu mzuri usingeleta hiyo link unadai ndilo jawabu la swali liliko mbele yetu, inaonekana kuwa hukuelewa inazungmzia nini.

Kama utaweza kusoma na kuelewa, basi nakushauri usome Chapter ya tano ya kitabu hiki, ambayo ndiyo inayohusu Tanzania. Itakusaidia kuelewa kuwa SAP Tanzania ilianza lini, na hadi pale pesa za IMF zina-kick in mwaka 1986, nini kilichokuwa kimfenyika kati ya mwaka 1984 na mwaka 1985. Kitabu kinauzwa kwa dola chache tu hapo Amazon.com.

http://www.amazon.ca/Structural-Adjustment-Environment-Sustainable-Development/dp/toc/0415850878
 
Pole sana Captain Rodric Rosham Roberts, nilikusikia sana jina lako wakati ya kesi ya uhaini 1983/4 na ukiwa na wenzio akina Zakaria Hans Poppe na nduguye, Captain Kadege, Uncle Tom, Banyikwa nk

ubungo umenikumbusha mbali saaaana tu!
 
ubungo umenikumbusha mbali saaaana tu!

Kulikuwa na mawakili matata sana wakati huo; mmojawapo akiwa anaitwa Muccadam ambaye nadhani alifariki huko Uingereza, na mwingine Evarist Mbuya ambaye nadhani bado yupo hapo Dar.
 
Frankly wewe hujui uliongealo; unapiga porojo tu, mostly driven by Anti-Nyeyerism. Vile vile nina wasiwasi na ufahamu wako unaposoma mambo kwani ungekuwa na ufahamu mzuri usingeleta hiyo link unadai ndilo jawabu la swali liliko mbele yetu, inaonekana kuwa hukuelewa inazungmzia nini.

Kama utaweza kusoma na kuelewa, basi nakushauri usome Chapter ya tano ya kitabu hiki, ambayo ndiyo inayohusu Tanzania. Itakusaidia kuelewa kuwa SAP Tanzania ilianza lini, na hadi pale pesa za IMF zina-kick in mwaka 1986, nini kilichokuwa kimfenyika kati ya mwaka 1984 na mwaka 1985. Kitabu kinauzwa kwa dola chache tu hapo Amazon.com.

http://www.amazon.ca/Structural-Adjustment-Environment-Sustainable-Development/dp/toc/0415850878

Jamani msigombane na kutoleana lugha chafu. Mi ninachojua SAP kwa Tzania ilianza mwaka 1986.

Fanyeni reference http://econ.worldbank.org/external/default/main?pagePK=64165259&theSitePK=477894&piPK=64165421&menuPK=64166093&entityID=000009265_3961005101627
 
Jamani msigombane na kutoleana lugha chafu. Mi ninachojua SAP kwa Tzania ilianza mwaka 1986.

Fanyeni reference Poverty Research - Report Details

Unazungumza yale yale, na huenda inatokana na kusoma riport za IMF tu. Soma kitbu nilichowawekea hapo. Unapoleta reference zinazo-evaluate impact ya fedha za IMF una-asume kuwa before pesa za IMF hazijaja hakukua na lolote lilikuwa likifanyika. Vile vile unassume kuwa pesa hizo zilikuwa zenyewe hakukuwa na process iliyofanyika kuzipata.
 
Nakumbuka kuna wakati Capt. Maganga alikuwa akitoa story ya mpango wa mapinduzi kwenye gazeti la Rai. Naona Roberts amejiuma uma. Kwa mujibu wa Maganga mpango huo ulikuwepo na maganga alikiri kushirikishwa

Nilisoma na Cpt. Maganga UDSM. Siku moja kwa utani tulimchokoza kwa sababu alikuwa mwanajeshi, akatuambia 'Nyie nitanieni tu, baada ya siku chache mtaniona navuta kiko'! Baada ya kukamatwa kwao ndipo tulipogundua kuwa alikuwa anamaanisha nini!
 
Niliwahi Kusema Kuwa Sito Kuwa Na Maisha Mazuri Maishani Mwangu, Ingawa Sikumaanisha Kuwa Nita Kuwa Na Maisha Magumu. Bado Nasoma, Lakini Siku Ntakayo Fanikiwa Nafikiria Kuwanufaisha Wahitaji Kama Hawa. Dah... Ingekuwa Enzi Zangu Ningesha Panda Gari La Songea Kumsaidia Mzee Huyu. Nawasihi Mlio Anza Maisha Msimuache Mzee Huyu!
 
Nilisoma na Cpt. Maganga UDSM. Siku moja kwa utani tulimchokoza kwa sababu alikuwa mwanajeshi, akatuambia 'Nyie nitanieni tu, baada ya siku chache mtaniona navuta kiko'! Baada ya kukamatwa kwao ndipo tulipogundua kuwa alikuwa anamaanisha nini!
Mkuu, nineshangaa huyu mzee Robert alipojibu kuwa hakumbuki ni kwa nini aliacha chuo na hata ajira yake ya kwanza. Ni jambo la kawaida?
 
Unazungumza yale yale, na huenda inatokana na kusoma riport za IMF tu. Soma kitbu nilichowawekea hapo. Unapoleta reference zinazo-evaluate impact ya fedha za IMF una-asume kuwa before pesa za IMF hazijaja hakukua na lolote lilikuwa likifanyika. Vile vile unassume kuwa pesa hizo zilikuwa zenyewe hakukuwa na process iliyofanyika kuzipata.

Kichuguu na Kaumza, nimepitia hoja zenu na pia nimepitia ktk internet, kila niki google when did SAP begin in Tanzania? Jibu linalokuja ni kuwa SAP imeanza Tanzania mwaka 1986.

Kwa msingi huo, ninafunga mjadala kwa kusema SAP Tanzania ilianza rasmi mwaka 1986 kama ulivyokuwa msimamo wa Kaumza.

Haiwezekani vyanzo vyote ktk net vikasema uongo
 
Back
Top Bottom