Mwenye Picha please... maana kuna kibabu kimoja kiliwahi kunichimba mkwara maeneo ya COOL BREEZE...
arrrrrg alikuwa fisadi tu tena ngono...hakuna cha ku rest in peace hapo.....akapambane na jehanamu......
. nilijua tu lazima watoto wake wako nje ya nchi!!!! Samahani sana kwa wale mko nje ya nchi kwa nguvu halali za wazazi wenu au nyie wenyewe. Kudos.
RIP haihusiani na maisha ya dunia hii, ni kumuombea maisha mema huko aendako. Hata wanaohukumiwa kunyongwa husaliwa kabla ya kifo na RIP ni stahili ya binadamu yoyote.Kwa comments hizi nashindwa kuandika "RIP Kapinga...", sijui niandikeje?
Mwenye Picha please... maana kuna kibabu kimoja kiliwahi kunichimba mkwara maeneo ya COOL BREEZE...
Mazee unataka picha hizi ama za marehemu?
Mas
Fidel na Masanilo mnashtakiwa kwa kosa la kunisababishia kicheko katika mada hii ya huzuni. Mahakama ya Makosa ya Hisia inawahukumu kifungo cha miezi Minne jela na mtakitumikia katika gereza la Jokes ndani ya Mji wa JF. Kifungo hicho kitaambatana na adhabu ya kushinda na kukesha JF bila kukosa pamoja na kutoa jokes zitakazowachekesha wanachama wa JF mpaka wavunjike mbavu.
Kifungo chenu kinaanza mara moja.
RIP Mzee Kapinga Mwenyezi MUNGU akupumzishe kwa Amani.
Dah.....naona raia sasa wamepinda kweli...yaani mshikaji amevunwa na sir.God, bado watu wanamachungu naye tu.......!
BWT: Kuna member humu JF anaitwa KAPINGA....and seems old vipi any connection to Marehemu?
huyo kapinga wa humu nadhani kalitumia tu hilo jina,ndo maana hawezi kujibu hilo swali anaogopa maswali mengine ya nyongeza!!!kapinga wote wenye uwezo wa kuandika hapa tunawajua.
hahahaha nimecheka sana wakuu sijaingia humu siku nyingi saaana...hahahaaha