Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Habarini ndugu zangu..nimeombwa ushauri na mimi pia nawaombeni ninyi ushauri...kuna binamu yangu aliyehitimu IFM 2010 fani ya accountancy...baada ya kula msoto wa muda mrefu amepata ajira atakayokuwa analipwa 120,000/- kwa mwezi kwenye kampuni moja ya kihindi..itambidi atoke dar aende morogoro kama eneo lake la kazi...anaomba ushauri wenu wazoefu wa maisha kama hiyo kazi itakuwa na maslahi kwake! asanteni...!