monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,265
- 11,306
Acha ubishoo wa kijinga mbona mmiliki wa Facebook huulizi?
Endelea kubadili wewe inatosha
Endelea kubadili wewe inatosha
Small minds discuss people,Tangu nimeanza kumwona huyu jamaa akitangaza Mambo ya biashara mara zote rangi ni ile ile, ni utaratibu wa ITV au?
Sijawahi vaa suti, pia min so bishoo!Acha ubishoo wa kijinga mbona mmiliki wa Facebook huulizi?
Endelea kubadili wewe inatosha
Usipopenda vya kwenu hata hivyo unavyovipenda vya majuu havina thamani kwako..... Ulimbukeni ni mzigoIla kuna watu mna moyo!!! Yani kabisa flat screen yangu 43 inch nimelipia king'amuzi cha mwezi unaangalia Itv, clouds, starehe tv,chanel ten?????? Hahaaaaaaa aiseeee mm nilishashindwa eti tbc!?? Dah
Hakika ni za kwetuUsipopenda vya kwenu hata hivyo unavyovipenda vya majuu havina thamani kwako..... Ulimbukeni ni mzigo
Hiyo tv unaniuzia shilingi ngapiIla kuna watu mna moyo!!! Yani kabisa flat screen yangu 43 inch nimelipia king'amuzi cha mwezi unaangalia Itv, clouds, starehe tv,chanel ten?????? Hahaaaaaaa aiseeee mm nilishashindwa eti tbc!?? Dah
Like koti hua analining'iniza nyuma ya mlango wa ofisi kabla na mara ya habari analivaa na kulivuaTangu nimeanza kumwona huyu jamaa akitangaza Habari za biashara mara zote rangi ni ile ile, ni utaratibu wa ITV au?
! Dah...chanel ten eti nikiitazama nahis km inaanua tanga imepoaaa...km ni chanel maalum ya majonzi vile...
Startv nikimis kucheka.
Tbc nikiangalia nakua mtu wa jazba tu had ulcers zinaamka...
Wabongo hatupendaniAcha ubishoo wa kijinga mbona mmiliki wa Facebook huulizi?
Endelea kubadili wewe inatosha
ANALO HILO MOJA TURANGI YA KOTI.
We unaangalia channel gani kwenye hiyo flat screen yako?Ila kuna watu mna moyo!!! Yani kabisa flat screen yangu 43 inch nimelipia king'amuzi cha mwezi unaangalia Itv, clouds, starehe tv,chanel ten?????? Hahaaaaaaa aiseeee mm nilishashindwa eti tbc!?? Dah
Jana kavaa Hilo Hilo!We unaangalia channel gani kwenye hiyo flat screen yako?