Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Leo asubuhi kwenye redio ya kabajaji, wakati nakuja kwa mkoloni:Haka kawimbo ka TOT kalinitafakarisha mengi sana:
Ooooh oooh *****,
Usilie na mimii mamaeee,
Mpenzi wako mimi sijamwita eeeh,
Kaona mambo wewe huyawezi, ndipo kaja kwangu
Yani mtu anakuchukulia kifaa chako afu anakupiga dongo "Kaona mambo wewe huyawezi, ndipo kaja kwangu".
Si kutafutiana ubaya na kesi za mauaji za bure mchana kweupe? Asprin hapendi, anawatakieni wikiendi njema.
Msisahau MALARIA HAIKUBALIKI..:israel::israel::israel:
Ooooh oooh *****,
Usilie na mimii mamaeee,
Mpenzi wako mimi sijamwita eeeh,
Kaona mambo wewe huyawezi, ndipo kaja kwangu
Yani mtu anakuchukulia kifaa chako afu anakupiga dongo "Kaona mambo wewe huyawezi, ndipo kaja kwangu".
Si kutafutiana ubaya na kesi za mauaji za bure mchana kweupe? Asprin hapendi, anawatakieni wikiendi njema.
Msisahau MALARIA HAIKUBALIKI..:israel::israel::israel: