Kanye West mbona anavaa kimaskini sana au ndo tuseme anaugua uchizi??

fundi bishoo

JF-Expert Member
Jun 26, 2018
12,680
22,145
angalia superstar wa dunia anavaa buti ngumu kama hyo nguo bila shaka ni mtumba sijui tumfananishe na star gani hapa bongo
Nash mc? no Nikki mbishi no
ila jamaa kawa kauzu hatari
cb66d2ab068573ed7008e8521cd798b3.jpeg
 
angalia superstar wa dunia anavaa buti ngumu kama hyo nguo bila shaka ni mtumba sijui tumfananishe na star gani hapa bongo
Nash mc? no Nikki mbishi no
ila jamaa kawa kauzu hatariView attachment 899128

Jamaa kakodi hoteli nzima Uganda. Five star!! Ndio the sexy Kim 'katembea' na mastaa kadhaa lakini Kanye kamuoa na kumzalisha kabisa. Tell me who won? Kanye mjanja bwana kachukua bonge la demu.
Kim's past has passed. They move on
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom