Kim's past has passed. They move on
Huyo black beauty ni naniangalia superstar wa dunia anavaa buti ngumu kama hyo nguo bila shaka ni mtumba sijui tumfananishe na star gani hapa bongo
Nash mc? no Nikki mbishi no
ila jamaa kawa kauzu hatariView attachment 899128
Ushamba unakusumbua tu.angalia superstar wa dunia anavaa buti ngumu kama hyo nguo bila shaka ni mtumba sijui tumfananishe na star gani hapa bongo
Nash mc? no Nikki mbishi no
ila jamaa kawa kauzu hatariView attachment 899128
Wanaume wa dar mnatia aibu amevaa kiume unataka avae visuluali vyenu vya kike vya kubana simple zenu Zile za kike.angalia superstar wa dunia anavaa buti ngumu kama hyo nguo bila shaka ni mtumba sijui tumfananishe na star gani hapa bongo
Nash mc? no Nikki mbishi no
ila jamaa kawa kauzu hatariView attachment 899128
Wamevaa the way walivyosikia africa kulivyo..hizo nguo sio za kimaskini ni "safari nguo" according to them
Wakwetu hapa micheni kibao
Mipete
Hereni
Kavaa kuendana na hali halisi ya eneo analotembelea, na hiyo ni factor kubwa sana katika kufanya kazi na jamii!!
Kuna dada alienda visiwani huko kwenye maswala ya jamii na alivaa bonge la kimini!! Hakuna aliyemuelewa na hata maelewano mazuri hayakuwepo!! Kumbe alitakiwa ayajue mazingira na kujua aina ya nguo ya kuvaa.
West kajua atakutana na watu si ajabu wana njaa ya mlo, avae nguo za kujifaharisha wataelewana kweli!!
Mavazi huendana na mazingira sana.