Kanyaga haitafika Mbali

imba ww bas tuone uta fika wapi
mzee ume jawa na kijiba cha Roho plus michuki ya kutosha yaaani
Kiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way!

Katika mambo anayofanya au nyimbo anazotoa amefeli kabisa na hawezi kutoa pure bongo fleva.

Nyimbo zake nyingi ni fleva zaki Nigeria.

Ushauri: Anguko lake lipo karibuni namshauri abadilike mapema iwezekanavyo

Bdozen
 
Utasubiri sana anguko. Jua litakuwakiwa sana ukisubiri anguko la wengine. Vijana wavivu ndio mara nyingi mna wivu usio wa maendeleo. UTATESEKA SANA KUSUBIRI ANGUKO,NA HALITATOKEA
Wavivu wote kanyagaaa
 
Libya Kanyaga..Oyaa kanyagaa..//Asa timba timba timba timba(Tiimbaaa)Wanangu timbaa.//kwa guu la kulia timbaaa..Na guu la kushoto timbaa..//
 
KANYAGA.. kudadadeki.. KANYAGA




Nyie ndo wachawi wa kukanyaga URAJIJUUUUUUUUUU
Kiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way!

Katika mambo anayofanya au nyimbo anazotoa amefeli kabisa na hawezi kutoa pure bongo fleva.

Nyimbo zake nyingi ni fleva zaki Nigeria.

Ushauri: Anguko lake lipo karibuni namshauri abadilike mapema iwezekanavyo

Bdozen
 
Kiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way!
Katika mambo anayofanya au nyimbo anazotoa amefeli kabisa na hawezi kutoa pure bongo fleva.
Nyimbo zake nyingi ni fleva zaki Nigeria.
Ushauri: Anguko lake lipo karibuni namshauri abadilike mapema iwezekanavyo
Bdozen

wimbo ni mbaya kiukweli
 
Kiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way!

Katika mambo anayofanya au nyimbo anazotoa amefeli kabisa na hawezi kutoa pure bongo fleva.

Nyimbo zake nyingi ni fleva zaki Nigeria.

Ushauri: Anguko lake lipo karibuni namshauri abadilike mapema iwezekanavyo

Bdozen
Diamond hata akianguka sa hv sawa tu, jamaa kakitendea haki kipaji chake, ten yrs upo kwenye peak sio haba, na hawez kupatia kila kitu lazma kuna mahali alikosea au anakosea au atakosea, ni binadamu pia, hata akianguka leo hata kuja tokea mwanamziki from bongo mwenye ushawishi tz na nje ya tz kama mond, labda after 100 yrs ambapo sisi sote tutakuwa maiti
 
Diamond hata akianguka sa hv sawa tu, jamaa kakitendea haki kipaji chake, ten yrs upo kwenye peak sio haba, na hawez kupatia kila kitu lazma kuna mahali alikosea au anakosea au atakosea, ni binadamu pia, hata akianguka leo hata kuja tokea mwanamziki from bongo mwenye ushawishi tz na nje ya tz kama mond, labda after 100 yrs ambapo sisi sote tutakuwa maiti
ungeishia hapa kwenye hata akianguka ni poa maana ameitendea haki nafasi yake vilivyo.

ila unaposema hatatokea mwingine,hapa unaingiza mahaba mkuu,huna tofauti na wapuuzi wanaosema ataendelea kuwa juu milele.
 
Back
Top Bottom