Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,898
Katibu wa Mbunge wa Hai Irine Lema amekanusha uzushi unaozunguka kwenye mitandao kuwa mkuu wa wilaya ya Hai amemnyanganya ofisi mbunge wa hai Mhe. Freeman Mbowe amesema kuwa ofisi ipo Bomang'ombe na imejengwa kwa garama za Mbunge na haiko halmashauri kama inavyopotoshwa
Huu ni Mwonekano wa ndani wa Ofisi ya kisasa ya Mbunge wa Hai na Mwenyekiti wa (CHADEMA) Taifa Mhe.Freeman Mbowe.
Huu ni Mwonekano wa ndani wa Ofisi ya kisasa ya Mbunge wa Hai na Mwenyekiti wa (CHADEMA) Taifa Mhe.Freeman Mbowe.