Kanusho La Kujiuzulu Kwa Wabunge Wa CUF

"Unaweza kuchezea ndevu za Mwanamapinduzi sio Serikali ya Kimapinduzi"-Comandoo Dr.Salmeen Amour Juma Rais wa Tano wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar 1990-2000!
 
Hawajajiuzulu nimeongea na Mhe. Sakaya ni Propaganda dhidi yao

Kilichopo ni wabunge wa CUF kuomba ruhusa katika kamati zao na kwenda Znz Kuwasaidia wananchi na kushuhudia madhila wanayoyapata katika kile kinachoitwa kuelekea uchaguzi wa marudio

CHANZO: MWANAHABARI HURU
Mungu ibariki cuf .
 
Hawajajiuzulu nimeongea na Mhe. Sakaya ni Propaganda dhidi yao

Kilichopo ni wabunge wa CUF kuomba ruhusa katika kamati zao na kwenda Znz Kuwasaidia wananchi na kushuhudia madhila wanayoyapata katika kile kinachoitwa kuelekea uchaguzi wa marudio

CHANZO: MWANAHABARI HURU
Hawajajiuzulu nimeongea na Mhe. Sakaya ni Propaganda dhidi yao

Kilichopo ni wabunge wa CUF kuomba ruhusa katika kamati zao na kwenda Znz Kuwasaidia wananchi na kushuhudia madhila wanayoyapata katika kile kinachoitwa kuelekea uchaguzi wa marudio

CHANZO: MWANAHABARI HURU

upload_2016-3-18_18-1-24.png


Wamekanusha!
 
Nakuwaga mdadisi lakini hili nililisahau, hivi bado kuna wabunge wengine wa Zanzibar huku bara? Hivi hawa walitokana na uchaguzi gani? Hapa nimechanganyikiwa.

Kujiuzulu hawawezi, waache mapochopocho ya bure ya Tanganyika ila wawakilishi wameumia, miaka mitano mikavu?
 
Nakuwaga mdadisi lakini hili nililisahau, hivi bado kuna wabunge wengine wa Zanzibar huku bara? Hivi hawa walitokana na uchaguzi gani? Hapa nimechanganyikiwa.

Kujiuzulu hawawezi, waache mapochopocho ya bure ya Tanganyika ila wawakilishi wameumia, miaka mitano mikavu?
Ndio hapo tukisema Ccm wanamazingaombwe mengi watu wanabisha
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom