Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ibariki cuf .Hawajajiuzulu nimeongea na Mhe. Sakaya ni Propaganda dhidi yao
Kilichopo ni wabunge wa CUF kuomba ruhusa katika kamati zao na kwenda Znz Kuwasaidia wananchi na kushuhudia madhila wanayoyapata katika kile kinachoitwa kuelekea uchaguzi wa marudio
CHANZO: MWANAHABARI HURU
Kwa manufaa yepi hayo ??Chama Cha Machafuko
Hawajajiuzulu nimeongea na Mhe. Sakaya ni Propaganda dhidi yao
Kilichopo ni wabunge wa CUF kuomba ruhusa katika kamati zao na kwenda Znz Kuwasaidia wananchi na kushuhudia madhila wanayoyapata katika kile kinachoitwa kuelekea uchaguzi wa marudio
CHANZO: MWANAHABARI HURU
Hawajajiuzulu nimeongea na Mhe. Sakaya ni Propaganda dhidi yao
Kilichopo ni wabunge wa CUF kuomba ruhusa katika kamati zao na kwenda Znz Kuwasaidia wananchi na kushuhudia madhila wanayoyapata katika kile kinachoitwa kuelekea uchaguzi wa marudio
CHANZO: MWANAHABARI HURU
Hapa ni Mtandao wa Saed?Saed Kubenea kupitia mtandao wake kwa kutumia ID bandia ameweka hiyo barua
UkurunzizaKwa manufaa yepi hayo ??
kweli nilionaNdo maana kwenye ule uzi nilisema sijaelewa kitu.
Mchumia tumbo yuleNimeona Zitto kapost hiyo Barua Fake nimemdharau sana
AmenMungu ibariki cuf .
chama cha majipuChama Cha Machafuko
Saed Kubenea kupitia mtandao wake kwa kutumia ID bandia ameweka hiyo barua[/QUOT
haya mama majipu tumekusikia,naona unapata hofu sana wakijiuzuru mipango itabuma au?
Saed Kubenea kupitia mtandao wake kwa kutumia ID bandia ameweka hiyo barua
Ndio hapo tukisema Ccm wanamazingaombwe mengi watu wanabishaNakuwaga mdadisi lakini hili nililisahau, hivi bado kuna wabunge wengine wa Zanzibar huku bara? Hivi hawa walitokana na uchaguzi gani? Hapa nimechanganyikiwa.
Kujiuzulu hawawezi, waache mapochopocho ya bure ya Tanganyika ila wawakilishi wameumia, miaka mitano mikavu?
Kweli ikabidi mtumie hila, nguvu kama mnavyoendelea.Hongera mkuu yako ilikusaidia kuzungusha mikono na 2020 itakusaidia kuzungusha kiuno
Maana ndiyo elimu uliyopata
Ccm bila vyombo vya ulinzi ninyepesi sanaKweli ikabidi mtumie hila, nguvu kama mnavyoendelea.
Wapenda ukurunzinza wao vipi?Mnapenda sana posho
Sisi wananchi wataka mavadiliko tulitaka mjiuzulu wote bara na visiwani
Chama cha Uhuni na Fitna (CUF)Chama Cha Machafuko
Majipu na machafuko vipiChama cha Uhuni na Fitna (CUF)