Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Ikulu leo hii imetoa taarifa kwamba Rais Jakaya Kikwete hajaongea kitu chochote na waziri mkuu Mizengo Pinda chakushangaza gazeti la tanzania daima limeandika kwamba jk kamwambia Pinda huo ni upepo utapita tuamini lipi?
Sasa ulitegemea Tanzania daima waandike nini kama siyo kumponda JK. Yaani magazeti yote wao tu ndiyo walipata taarifa ya JK kuongea na PM kweli? hata mimi naamini ni uongo tu huo, tusubiri msemakweli kesho.