Tunachukua nafasi hii kuweka bayana kwamba habari katika hilo hazeti la Tanzania Daima Jumapili si za kweli, bali ni za uzushi na upotoshaji mkubwa.
Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye alikuwa katika ziara ya kikazi nchini Brazil, amerejea jana Aprili 21, 2012 jioni. Hajaonana wala kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu, Mhe. Pinda.
Hivi wanaposema hivi wanafikiria wanaonesha umakini na weledi wa Rais? yaani yote yanayoendelea kutokea nchini Rais hata kuzungumza na Waziri Mkuu wake hawajazungumza? Really?
ile thread jana jion humu imejaza uongo mkubwa na na tulipojaribu kukanusha kuwa jk hayuko dodoma watu wakabisha na hawa tanzania daima walitolea humu habari na kuandika gazetini
Umeanza lini kumwamini Salva au Premi?
Mkuu Kimbunga,
Hii kitu itamuweka pabaya JK, maana vituo vyote vya Television na Radio viliweka habari hiyo kama BREAKING NEWS, magazeti yote nayo yakaiweka kama Habari Kuu, kwamba mawaziri 8 washinikizwa kuachia ngazi. Sasa iwapo mpaka kufikia Jumatatu hakutatokea kitu, then Ikulu itakuwa imewalinda.
Hivi wanaposema hivi wanafikiria wanaonesha umakini na weledi wa Rais?
yaani yote yanayoendelea kutokea nchini Rais hata kuzungumza na Waziri Mkuu wake hawajazungumza? Really?
ni nani anayetakiwa kupeleka hiyo taarifa kutoka bungeni na kwa nini amechelewa?
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA