Kanusha kwamba CCM si wezi

Huo ni upotoshaji kwakuwa haujui nini mamaana ya ccm. CCM ni mimi na mwingine sasa huu wizi unanihusuje mimi wa chini? Naamini CCM chama imara
 
Sio wezi, wanaanda tuu wadanganyika kujitambua, mkitaka kujua ni wezi wachagueni tena 2015.


Sio wezi jamani,hawa ni majambazi sugu ati.2015 mkiwarudisha msishangae wataanza kuvamia/kuvunja nyumba zetu maana hawana cha kuiba tena sababu serikali inafilisika
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom