The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,881
kuna mtoto mmoja alikuwa amepanda juu ya mti
kuangua maembe,wakati yuko bize na maembe,huku
chini,mchungaji akapita,akamuangalia yule mtoto.
akaona hajavaa nguo ya ndani,akamwambia we mtoto
hebu shuka,
yule mtoto aliposhuka,yule mchungaji akampa mtoto shilingi
elfu moja,akamwambia kanunue nguo ya undani uvae.
yule mtoto akaenda kumsimulia mama yake ilivyotokea..
mama mtu kusikia hivyo,akaona kama mtoto amepewa
elfu moja basi ingekuwa yeye mkubwa angepewa pesa nyingi..
kwa hiyo yule mama naye akaenda kukaa juu ya mti
bila nguo ya ndani....
mchungaji kupita pale kutazama juu,akamwambia yule
mama ateremke chini,
kufika chini yule mchungaji akampa yule mama
shilingi mia moja...
akamwambia hebu kanunue wembe ukanyoe......
kuangua maembe,wakati yuko bize na maembe,huku
chini,mchungaji akapita,akamuangalia yule mtoto.
akaona hajavaa nguo ya ndani,akamwambia we mtoto
hebu shuka,
yule mtoto aliposhuka,yule mchungaji akampa mtoto shilingi
elfu moja,akamwambia kanunue nguo ya undani uvae.
yule mtoto akaenda kumsimulia mama yake ilivyotokea..
mama mtu kusikia hivyo,akaona kama mtoto amepewa
elfu moja basi ingekuwa yeye mkubwa angepewa pesa nyingi..
kwa hiyo yule mama naye akaenda kukaa juu ya mti
bila nguo ya ndani....
mchungaji kupita pale kutazama juu,akamwambia yule
mama ateremke chini,
kufika chini yule mchungaji akampa yule mama
shilingi mia moja...
akamwambia hebu kanunue wembe ukanyoe......