Kanuni za upangaji bei ya umeme yaani The Electricity (Tariff Setting) Rules, 2016

whizkid

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
357
240
Kutokana na yaliyojiri kuhusu kutumbuliwa kwa mkurugenzi wa TANESCO (sababu anazijua mwajiri wake) na kusitishwa kwa bei mpya za umeme kwa mwaka 2017 mpaka serikali itakapopitia kwa kina ripoti ya EWURA (kulingana na barua ya waziri kwenda EWURA), tujikumbushe kanuni zinazotumika katika kupanga bei ya umeme nchini.

NOTE: 5(a) na 5(b) ni kwa manufaa ya mjadala. Kanuni zote zimeambatanishwa kwenye uzi huu.

excerpt.png


Pia, ifahamike kuwa, kusitishwa kwa bei mpya iliyopendekezwa na EWURA haimaanishi bei ya umeme haitopanda milele. Ni mchakato ambao upo kisheria na ni jukumu la EWURA kusimamia. Hivyo basi, kwa maoni yangu, iwapo ripoti ya EWURA itaonesha ulazima wa kupandisha bei, serikali kama mmiliki na mdau muhimu wa TANESCO itabidi akubali matokeo au/na akikataa, kuwe na njia mbadala ya kufidia gharama za uendeshaji wa shirika ili bei zisipande.

Mwisho, namtakia kila la kheri "kaimu" mkurugenzi mpya wa TANESCO ambaye naamini yupo tayari kupitia makabrasha ya TANESCO na kuja na mkakati wa kuendesha shirika kwa faida bila kupandisha bei za umeme.
 

Attachments

  • ELECTRICITY-TARIFF-SETTING-RULES-2016.pdf
    367 KB · Views: 254
Hoja hapa siyo kuwepo au kutokuwepo kwa kanuni; hoja ni why did the Tanesco CEO lodge the application for hiking electricity tariffs in the first place, while he had a myriad of other avenues for improving the company's production efficiency at his disposal?

Katika uendeshaji wa kampuni, jukumu kubwa la CEO ni kuhakikisha "production efficiency" siku zote iko juu na suala la kuwabebesha mzigo wateja kwa kuwaongezea bei linakuwa la mwisho. Wateja hawawezi kubeba mzigo wa ongezeko la bei kufidia uzembe wa menejiment ya Tanesco.
 
Akili za CEO ndogo zinaamini katika kupandisha bei tu hajui alternative zingine, akili zake ni sawa za Dr Mpango hawana mawazo menhine ya kukuza uchumi tofauti na kodi kwa walaji, wasomi wetu ni wapumbafu sana! Vyeti akili matako. Watumbuliwe
 
Kutokana na yaliyojiri kuhusu kutumbuliwa kwa mkurugenzi wa TANESCO (sababu anazijua mwajiri wake) na kusitishwa kwa bei mpya za umeme kwa mwaka 2017 mpaka serikali itakapopitia kwa kina ripoti ya EWURA (kulingana na barua ya waziri kwenda EWURA), tujikumbushe kanuni zinazotumika katika kupanga bei ya umeme nchini.

NOTE: 5(a) na 5(b) ni kwa manufaa ya mjadala. Kanuni zote zimeambatanishwa kwenye uzi huu.

excerpt.png


Pia, ifahamike kuwa, kusitishwa kwa bei mpya iliyopendekezwa na EWURA haimaanishi bei ya umeme haitopanda milele. Ni mchakato ambao upo kisheria na ni jukumu la EWURA kusimamia. Hivyo basi, kwa maoni yangu, iwapo ripoti ya EWURA itaonesha ulazima wa kupandisha bei, serikali kama mmiliki na mdau muhimu wa TANESCO itabidi akubali matokeo au/na akikataa, kuwe na njia mbadala ya kufidia gharama za uendeshaji wa shirika ili bei zisipande.

Mwisho, namtakia kila la kheri "kaimu" mkurugenzi mpya wa TANESCO ambaye naamini yupo tayari kupitia makabrasha ya TANESCO na kuja na mkakati wa kuendesha shirika kwa faida bila kupandisha bei za umeme.
Hiyo imeshatoka hata mkitetea vipi haibadilishwi. TANESCO ilikuwa ikituambia wakati wananchi wa Mtwara wakipinga gesi kuja Dar kwamba gesi ikija bei ya umeme itapungua sana. Hiyo gesi haijaja bado toka Mtwara? Kama tatizo ni pesa za uendeshaji mbona wanajilipa bonasi ya 60m??
 
Sasa hizo kanuni 5(a) na 5(b) zinamhusu vipi mtumiaji wa umeme nyumbani? Kuna buisness na licence ipi inayofanyika nyumbani? Kweli mlitaka kupandisha umeme wa majumbani kwa 18% kwa kanuni hizo? Na hizo bonus za 60 m/annum kweli mlitumia kanuni hizo? Haueleweki.
 
Hoja hapa siyo kuwepo au kutokuwepo kwa kanuni; hoja ni why did the Tanesco CEO lodge the application for hiking electricity tariffs in the first place, while he had a myriad of other avenues for improving the company's production efficiency at his disposal?

Katika uendeshaji wa kampuni, jukumu kubwa la CEO ni kuhakikisha "production efficiency" siku zote iko juu na suala la kuwabebesha mzigo wateja kwa kuwaongezea bei linakuwa la mwisho. Wateja hawawezi kubeba mzigo wa ongezeko la bei kufidia uzembe wa menejiment ya Tanesco.

Laiti kama ugejua TANESCO inaendeshwaje na kwa nini ina mzigo wa madeni na kwa nini all international financing agencies of like WB, IMF, ADB and others are setting the tariff review conditions prior providing financial supports in energy sector particularly TANESCO andiko lako lingesomeka kivingine kabisa. Muulize waziri wetu wa fedha kuhusu mkopo wa ADB aliosaini juzi juzi katika kuokoa TANESCO kama kuna kipengele cha bei ya umeme au la. Muulize tena TANESCO inadai bei gani kutoka government offices and institutions na na yenyewe inadaiwa bei gani na wazabuni pamoja na wabia wake katika kuzalisha, kusafirisha na kusambaza umeme, then rejea hapa jamvini na andiko tusome.
 
Lengo ni kuepuka kufanya kupanda kwa bei za umeme kama chanzo pekee cha kujiendesha kwa kampuni! Kwa kufanya hivyo bei ya umeme haitakaa ipungue Bali kupanda tu, jambo ambalo sio sawa!
 
Laiti kama ugejua TANESCO inaendeshwaje na kwa nini ina mzigo wa madeni na kwa nini all international financing agencies of like WB, IMF, ADB and others are setting the tariff review conditions prior providing financial supports in energy sector particularly TANESCO andiko lako lingesomeka kivingine kabisa. Muulize waziri wetu wa fedha kuhusu mkopo wa ADB aliosaini juzi juzi katika kuokoa TANESCO kama kuna kipengele cha bei ya umeme au la. Muulize tena TANESCO inadai bei gani kutoka government offices and institutions na na yenyewe inadaiwa bei gani na wazabuni pamoja na wabia wake katika kuzalisha, kusafirisha na kusambaza umeme, then rejea hapa jamvini na andiko tusome.

Uko sahihi kwa kiasi fulani lakini tukubaliane management ya Tanesco pia haijafanya homework yake kikamilifu.

Suala la serikali kutokulipa madeni yake haliwezi kueleweka kwetu sisi wateja kuwa ni sababu ya kutuongezea bei ya umeme. Kila idara ya serikali ina bajeti yake ya umeme. Tanesco kama corporate entity ina kanuni zake za kuhakikisha wateja wake wanalipia huduma ya umeme wanayopata. Kama management ya Tanesco inaruhusu idara za serikali zitumie bure umeme kishikaji it is absolutely unfair and unacceptable to pass on the burden to the clientele.

Pili, Tanesco hawajakaa kibiashara hata kidogo. (Kumbuka hii ni karne ya 21). Kuna usumbufu mkubwa sana katka ku-access huduma ya Tanesco kwa wateja wapya - ambayo ni new revenue source. Kiwanda kitajengwa na kukamilika na hatimae kulazimika kuzalisha umeme wake wenyewe; Tanesco wapo tu! Wateja wa majumbani wataomba kuunganishiwa umeme na kulipa gharama zote lakini huduma haitatolewa kwa wakati; eti hakuna nguzo!! Yaani nakuambia Tanesco is a national disgrace!! They are only good at giving flimsy excuses for their failures.

Halafu ieleweke Tanesco siyo idara ya serikali; ni shirika la umma linalojitegemea (corporate body) hivyo ni siyo sahihi kuilaumu serikali moja kwa moja kwa udhaifu wa kiutendaji wa management ya Tanesco.
 
Uko sahihi kwa kiasi fulani lakini tukubaliane management ya Tanesco pia haijafanya homework yake kikamilifu.

Suala la serikali kutokulipa madeni yake haliwezi kueleweka kwetu sisi wateja kuwa ni sababu ya kutuongezea bei ya umeme. Kila idara ya serikali ina bajeti yake ya umeme. Tanesco kama corporate entity ina kanuni zake za kuhakikisha wateja wake wanalipia huduma ya umeme wanayopata. Kama management ya Tanesco inaruhusu idara za serikali zitumie bure umeme kishikaji it is absolutely unfair and unacceptable to pass on the burden to the clientele.

Pili, Tanesco hawajakaa kibiashara hata kidogo. (Kumbuka hii ni karne ya 21). Kuna usumbufu mkubwa sana katka ku-access huduma ya Tanesco kwa wateja wapya - ambayo ni new revenue source. Kiwanda kitajengwa na kukamilika na hatimae kulazimika kuzalisha umeme wake wenyewe; Tanesco wapo tu! Wateja wa majumbani wataomba kuunganishiwa umeme na kulipa gharama zote lakini huduma haitatolewa kwa wakati; eti hakuna nguzo!! Yaani nakuambia Tanesco is a national disgrace!! They are only good at giving flimsy excuses for their failures.

Halafu ieleweke Tanesco siyo idara ya serikali; ni shirika la umma linalojitegemea (corporate body) hivyo ni siyo sahihi kuilaumu serikali moja kwa moja kwa udhaifu wa kiutendaji wa management ya Tanesco.

Kwa kifupi kabisa TANESCO is own by Government by 100% is not a public company maana hakuna mwanachi mwenye hisa hata senti moja. Maana yake ni kwamba all operations are managed by board of Directors under Ministry of Energy and Minerals (MEM) Kwa hiyo ofisi za serikali na tasisi zake zinatumia chao bila kulipia gharama na TANESCO haiwezi kuchukua hatua bila ok ya owner ambaye ni serikali yenyewe.

Uwekezaji wa kuzalisha umeme, kuusafirisha na kuusambaza gharama zake ni kubwa sana, hivyo bila kuwa na mtaji wa kutosha ni vigumu sana kutoa huduma kwa wakati. Ndiyo maana serikali mara nyingi inawasiliana na vyombo vya fedha vya kimataifa kuona kama wanaweza ku bail out TANESCO ambao nao wanasema bila ya kuhakikisha ongezeko la mapato ya ndani ambayo ni power tariff uhakika wa urejeshaji wa mikopo hiyo unakuwa mashakani na hivyo TANESCO kuwa na wakati ngumu kabisa financially.
 
Lengo ni kuepuka kufanya kupanda kwa bei za umeme kama chanzo pekee cha kujiendesha kwa kampuni! Kwa kufanya hivyo bei ya umeme haitakaa ipungue Bali kupanda tu, jambo ambalo sio sawa!

Tupe mbadala wa chanzo kingine cha mapato kwa TANESCO mbali na kuuza umeme kwa bei stahiki kulingana na matumizi ya kuzalisha huo umeme.
 
Kwa kifupi kabisa TANESCO is own by Government by 100% is not a public company maana hakuna mwanachi mwenye hisa hata senti moja. Maana yake ni kwamba all operations are managed by board of Directors under Ministry of Energy and Minerals (MEM) Kwa hiyo ofisi za serikali na tasisi zake zinatumia chao bila kulipia gharama na TANESCO haiwezi kuchukua hatua bila ok ya owner ambaye ni serikali yenyewe.

Uwekezaji wa kuzalisha umeme, kuusafirisha na kuusambaza gharama zake ni kubwa sana, hivyo bila kuwa na mtaji wa kutosha ni vigumu sana kutoa huduma kwa wakati. Ndiyo maana serikali mara nyingi inawasiliana na vyombo vya fedha vya kimataifa kuona kama wanaweza ku bail out TANESCO ambao nao wanasema bila ya kuhakikisha ongezeko la mapato ya ndani ambayo ni power tariff uhakika wa urejeshaji wa mikopo hiyo unakuwa mashakani na hivyo TANESCO kuwa na wakati ngumu kabisa financially.
Sijui unataka kupigia upatu kitu gani ?? Yaani watumiaji wengine tuwalipie umeme watumiaji wengine yaani serikali Na idara zake??
Whether ni world bank or any other institution watakacho pigia upatu ni clientele ya Tanesco ambayo ni pamoja Na serikali Na idara zake Na nyingine ni efficiency , Kwa sababu hata Kama utaongeza bei Na usipothibiti in efficiency Nawateja wengine wasilipe then huwezi kufikia malengo yako . Na mipango ya wb ni sustainability ya project wanayo finance , Sasa hiyo project Kama Ina element ya idara Za serikali kutolipa Kama unavyo sema ni wazi hakuna financer anaye weza kufinance mradi Kama huo. Na sio sababu ya kutokuwepo Na element ya Ku review bei ya umeme. Na hata hizo nchi zilizoendelea bei ya umeme haipandi ovyo ovyo au kila Baada ya miezi mitatu . Na Zaidi ya Hapo kwenye hizo kanuni ulizo weka kunakifungu Cha stability Sasa Sijui maana Yake inaendana Na hicho kifungu au tafsiri yako. Na pia kuna kifungu Cha efficiency , Sasa mambo yanayo fanyika Tanesco yaonyesha efficiency? Mfano mahali penye loose connection kwenye vikombe ipo haja ya mafundi watano kwenda Badala ya wawili au kwanini mafundi wasifundishwe udereva hivyo wakienda site kwenye residential area ambako hakuna heavy lifting hiyo kazi ikafanyika Kwa gharama ndogo. Hii ina maana hakuna planning
 
Sijui unataka kupigia upatu kitu gani ?? Yaani watumiaji wengine tuwalipie umeme watumiaji wengine yaani serikali Na idara zake??
Whether ni world bank or any other institution watakacho pigia upatu ni clientele ya Tanesco ambayo ni pamoja Na serikali Na idara zake Na nyingine ni efficiency , Kwa sababu hata Kama utaongeza bei Na usipothibiti in efficiency Nawateja wengine wasilipe then huwezi kufikia malengo yako . Na mipango ya wb ni sustainability ya project wanayo finance , Sasa hiyo project Kama Ina element ya idara Za serikali kutolipa Kama unavyo sema ni wazi hakuna financer anaye weza kufinance mradi Kama huo. Na sio sababu ya kutokuwepo Na element ya Ku review bei ya umeme. Na hata hizo nchi zilizoendelea bei ya umeme haipandi ovyo ovyo au kila Baada ya miezi mitatu . Na Zaidi ya Hapo kwenye hizo kanuni ulizo weka kunakifungu Cha stability Sasa Sijui maana Yake inaendana Na hicho kifungu au tafsiri yako. Na pia kuna kifungu Cha efficiency , Sasa mambo yanayo fanyika Tanesco yaonyesha efficiency? Mfano mahali penye loose connection kwenye vikombe ipo haja ya mafundi watano kwenda Badala ya wawili au kwanini mafundi wasifundishwe udereva hivyo wakienda site kwenye residential area ambako hakuna heavy lifting hiyo kazi ikafanyika Kwa gharama ndogo. Hii ina maana hakuna planning

Hayo uliyoongelea ni sawa lakini ni sehemu ndogo sana ya matatizo yanayoikabili TANESCO ya sasa, kwa sababu ya kutokuwa na uwezo wa kuamua mambo yake economically badala yake watunga na wasimamizi wa sera wanaiamulia nini cha kufanya for the matter of possible popularity and political gains e.g. IPTL, Symbion, Aggreko etc Sagas.
 
Kwa kifupi kabisa TANESCO is own by Government by 100% is not a public company maana hakuna mwanachi mwenye hisa hata senti moja. Maana yake ni kwamba all operations are managed by board of Directors under Ministry of Energy and Minerals (MEM) Kwa hiyo ofisi za serikali na tasisi zake zinatumia chao bila kulipia gharama na TANESCO haiwezi kuchukua hatua bila ok ya owner ambaye ni serikali yenyewe.

Uwekezaji wa kuzalisha umeme, kuusafirisha na kuusambaza gharama zake ni kubwa sana, hivyo bila kuwa na mtaji wa kutosha ni vigumu sana kutoa huduma kwa wakati. Ndiyo maana serikali mara nyingi inawasiliana na vyombo vya fedha vya kimataifa kuona kama wanaweza ku bail out TANESCO ambao nao wanasema bila ya kuhakikisha ongezeko la mapato ya ndani ambayo ni power tariff uhakika wa urejeshaji wa mikopo hiyo unakuwa mashakani na hivyo TANESCO kuwa na wakati ngumu kabisa financially.

Du! Maelezo yako ni kama ya naibu waziri anayejibu swali la nyongeza bungeni; namaanisha yamekaa kisiasa mno! Labda ingekuwa vyema kama ungeweka maslahi yako wazi kwa sababu inaelekea wewe ni mfanyakazi wa Tanesco. Kama ni hivyo basi utakuwa unanufaika na uozo uliopo Tanesco. Nikukumbushe tu kuwa hili jukwaa linastahili heshima yake kama mahali pa kujadili hoja za maslahi mapana ya kitaifa na siyo kila mtu kuweka mbele maslahi yake binafsi.

Nikirudi kwenye hoja yako, despite Tanesco being wholly owned by the government, it is a commercial entity which, according to the law that established it, is required to operate under prudent commercial principles. In this regard, the Tanesco's CEO is the "paradigm of ethics and judgement" insofar as the company's day to day operations are concerned. It is only this way that Tanesco's operations can be sustained.
 
Huu UZI hauna hata chembe ya CDM na CCM it is too technical and I liked it. Ni kweli baadhi ya hoja kutaka TANESCO isitumike kama political tree ni lazima sheria na kanuni za uebdeshaji wa shirika zifuate. Mara zote kauli za wanasiasa kwenye dola husikika na kuaminiwa kuliko za wataalam. Narejea Kitabu cha Ibsen An Enemy of the People. Kiukweli shirika lajiendesha kwa hasara hiyo ni wazi kabisa. Lina mzigo wa madeni makubwa tu hata kama na wao wanasemekana kujipa mabonansi sijui lakini ukweli kina IPTL na Dowans eameuea efficiency ya tanesco. Chanzo ni wanasiasa. Hakuna anayetaka gharama ya kitu chochote ipande maana itaongeza ukali wa maisha lakini hali halisi inabidi iwe hivyo. Maana hata hiyo gesi imepatikana lakini teknolojia inabidi tununue plus mtaji wa kuchakata na kusafirisha gesi kusukuma majenetator kuzalisha umeme. Cheap Electrical production ni maji kusukuma majenereta. Lakini ges, upepo, mafuta mazito yote ni aghali.

Anyway bora tunapata umeme hatutaki upande
 
Lkin mh nae albug yni alituteremshia 1% halLG baad ymiez 6 anatkaku2pandishia 8.5% aaaaa! achaakapmnzke alchka na kz nadhani
 
Hoja hapa siyo kuwepo au kutokuwepo kwa kanuni; hoja ni why did the Tanesco CEO lodge the application for hiking electricity tariffs in the first place, while he had a myriad of other avenues for improving the company's production efficiency at his disposal?

Katika uendeshaji wa kampuni, jukumu kubwa la CEO ni kuhakikisha "production efficiency" siku zote iko juu na suala la kuwabebesha mzigo wateja kwa kuwaongezea bei linakuwa la mwisho. Wateja hawawezi kubeba mzigo wa ongezeko la bei kufidia uzembe wa menejiment ya Tanesco.

kuanzia nizaliwe hawa ma CEO sijawahi kuwasikia wakijitahidi kumpunguzia mlaji mzigo bali wao option ni kuongeza tu bei , huku wakijilipa bonas 700+!unit
 
Lengo ni kuepuka kufanya kupanda kwa bei za umeme kama chanzo pekee cha kujiendesha kwa kampuni! Kwa kufanya hivyo bei ya umeme haitakaa ipungue Bali kupanda tu, jambo ambalo sio sawa!

wanasema CEO ni mchapa kazi kila mwaka wao option ni kupandisha bei kila mwaka , wakikaa wanafikiria kupandisha tu bei , kwa hiyo kama wangepandisha mwezi huu mwakani 2017 wangepandisha tena , huku wao wakijineemesha na mabonas ya 700 unit kwa mwezi
 
Nikirudi kwenye hoja yako, despite Tanesco being wholly owned by the government, it is a commercial entity which, according to the law that established it, is required to operate under prudent commercial principles. In this regard, the Tanesco's CEO is the "paradigm of ethics and judgement" insofar as the company's day to day operations are concerned. It is only this way that Tanesco's operations can be sustained.

!st I declear I am not TANESCO employee and have no any interest within TANESCO.
You are quite right but, unfortunately is not the case for day to day TANESCO`s operations as are subject to political interests and not on commercial bases. Angalia shirika limefuata sheria na processes zote including EWURA inviting stakeholder and public hearings to review tariffs with Board blessing, at the end of the day one sentence from one man who did even ran the TANESCO economics model decided the fate of the all business!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwa kifupi kabisa TANESCO is own by Government by 100% is not a public company maana hakuna mwanachi mwenye hisa hata senti moja. Maana yake ni kwamba all operations are managed by board of Directors under Ministry of Energy and Minerals (MEM) Kwa hiyo ofisi za serikali na tasisi zake zinatumia chao bila kulipia gharama na TANESCO haiwezi kuchukua hatua bila ok ya owner ambaye ni serikali yenyewe.

Uwekezaji wa kuzalisha umeme, kuusafirisha na kuusambaza gharama zake ni kubwa sana, hivyo bila kuwa na mtaji wa kutosha ni vigumu sana kutoa huduma kwa wakati. Ndiyo maana serikali mara nyingi inawasiliana na vyombo vya fedha vya kimataifa kuona kama wanaweza ku bail out TANESCO ambao nao wanasema bila ya kuhakikisha ongezeko la mapato ya ndani ambayo ni power tariff uhakika wa urejeshaji wa mikopo hiyo unakuwa mashakani na hivyo TANESCO kuwa na wakati ngumu kabisa financially.
Kama ni hivyo basi lile wazo la ku-split TANESCO kuwa kampuni tatu yaani uzalishaji, usafirishaji na huduma kwa wateja.
 
Kama ni hivyo basi lile wazo la ku-split TANESCO kuwa kampuni tatu yaani uzalishaji, usafirishaji na huduma kwa wateja.

Hilo wazo haliwezi kuisaidia TANESCO kama haitaendeshwa zaidi kibiashara na kufuata kanuni zake badala ya mambo ya kisiasa na huduma kwa jamii bila kupata ruzuku ya kutosha!!!!!!!!!!!! Kwa mfano nguzo moja bei yake ya soko ni kama shilling 80,000. 00 Nguzi hiyo hiyo kumpa mtu wa kijijini kumpata umeme ni shilling 27,000.00. Haya hiyo ni hesabu ya wapi??????????? Je hapo kuna uchawi wowote?????
 
Back
Top Bottom