Kanuni za upangaji bei ya umeme yaani The Electricity (Tariff Setting) Rules, 2016

Hilo wazo haliwezi kuisaidia TANESCO kama haitaendeshwa zaidi kibiashara na kufuata kanuni zake badala ya mambo ya kisiasa na huduma kwa jamii bila kupata ruzuku ya kutosha!!!!!!!!!!!! Kwa mfano nguzo moja bei yake ya soko ni kama shilling 80,000. 00 Nguzi hiyo hiyo kumpa mtu wa kijijini kumpata umeme ni shilling 27,000.00. Haya hiyo ni hesabu ya wapi??????????? Je hapo kuna uchawi wowote?????
Mimi ninamawazo tofauti kabisa kwani ninaamini kuwa Tanesco ina matatizo ya aina 2
1.Uendeshaji usio na ufanisi
2. Mzigo mkubwa uliobebeshwa kwenye ukodishaji wa mitambo
Hivyo basi suluhisho kubwa ni kwanza serikali ibebe mzigo huu kama ilivyofanya kwenye taasisi nyingine na pili shirika hili lihuishe utendaji kazi wake kwa ku-establish cost centers kuanzia kwenye uzalishaji, usambazaji na mwisho huduma kwa wateja [waondoe viashiria vyote vinavyoathiri ufanishi wa shirika.
 
Mimi ninamawazo tofauti kabisa kwani ninaamini kuwa Tanesco ina matatizo ya aina 2
1.Uendeshaji usio na ufanisi
2. Mzigo mkubwa uliobebeshwa kwenye ukodishaji wa mitambo
Hivyo basi suluhisho kubwa ni kwanza serikali ibebe mzigo huu kama ilivyofanya kwenye taasisi nyingine na pili shirika hili lihuishe utendaji kazi wake kwa ku-establish cost centers kuanzia kwenye uzalishaji, usambazaji na mwisho huduma kwa wateja [waondoe viashiria vyote vinavyoathiri ufanishi wa shirika.

Usemavyo ndivyo inavyopashwa kuwa ila sivyo ilivyo, kwa kuwa inaendeshwa kisiasa na kihuduma zaidi ya economics models. Ukodishwaji wa mitambo ya uzalishaji umeme unasimamiwa na National Negations Committee chini ya Wizara ya Nishati na PM`s office including AG office as well. Refer DOWANS and IPTL , ESCROW cases!!!!!!!!!! Kifupi kwa sasa MD wa TANESCO cant make any useful professional and practical decision to supersede politically motivated positions.
 
Usemavyo ndivyo inavyopashwa kuwa ila sivyo ilivyo, kwa kuwa inaendeshwa kisiasa na kihuduma zaidi ya economics models. Ukodishwaji wa mitambo ya uzalishaji umeme unasimamiwa na National Negations Committee chini ya Wizara ya Nishati na PM`s office including AG office as well. Refer DOWANS and IPTL , ESCROW cases!!!!!!!!!! Kifupi kwa sasa MD wa TANESCO cant make any useful professional and practical decision to supersede politically motivated positions.
Kwa kweli itabidi serikali ifungue baadhi ya minyororo iliyoiwekea shirika hili.
 
!st I declear I am not TANESCO employee and have no any interest within TANESCO.
You are quite right but, unfortunately is not the case for day to day TANESCO`s operations as are subject to political interests and not on commercial bases. Angalia shirika limefuata sheria na processes zote including EWURA inviting stakeholder and public hearings to review tariffs with Board blessing, at the end of the day one sentence from one man who did even ran the TANESCO economics model decided the fate of the all business!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

No! The issue at hand is the very decision to propose a power hike was flawed because Mramba had alternative avenues, which he ignored, for improving Tanesco's production efficiency. Insofar as he preferred the most crude and damaging option of raising power tarrifs, his appointing authority did the right thing: show him the door.

I would advise the newly appointed Tanesco CEO to regard his appointment as a serious call of duty. He should strive to stand out in the crowd, otherwise he too will soon become irrelevant. If he is not sure of his mastery of the "tactics of trade", he should visit neighbouring Rwanda to learn how to effectively manage a power utility. Rwanda targets to attain a national electricity access rate of 70% by the end of this year and 100% by 2020. Tanzania currently "enjoys" a national access rate of only 15%!! (World Bank data). This translates into the fact that Rwanda, with a population of only12m people, has more electricity customers than Tanzania (with a population of more than 50m people)!!! Isn't it shameful?
 
No! The issue at hand is the very decision to propose a power hike was flawed because Mramba had alternative avenues, which he ignored, for improving Tanesco's production efficiency. Insofar as he preferred the most crude and damaging option of raising power tarrifs, his appointing authority did the right thing: show him the door.

I would advise the newly appointed Tanesco CEO to regard his appointment as a serious call of duty. He should strive to stand out in the crowd, otherwise he too will soon become irrelevant. If he is not sure of his mastery of the "tactics of trade", he should visit neighbouring Rwanda to learn how to effectively manage a power utility. Rwanda targets to attain a national electricity access rate of 70% by the end of this year and 100% by 2020. Tanzania currently "enjoys" a national access rate of only 15%!! (World Bank data). This translates into the fact that Rwanda, with a population of only12m people, has more electricity customers than Tanzania (with a population of more than 50m people)!!! Isn't it shameful?
Again you are falling in the same politically based discussions and not commercially based.
Trust me there is no way or short cut TANESCO can make it without reviewing its current power tariffs. Note that the tariffs review call was based on UWURA recommendation attached on announced 2016 tariff review.
 
Hoja hapa siyo kuwepo au kutokuwepo kwa kanuni; hoja ni why did the Tanesco CEO lodge the application for hiking electricity tariffs in the first place, while he had a myriad of other avenues for improving the company's production efficiency at his disposal?

Katika uendeshaji wa kampuni, jukumu kubwa la CEO ni kuhakikisha "production efficiency" siku zote iko juu na suala la kuwabebesha mzigo wateja kwa kuwaongezea bei linakuwa la mwisho. Wateja hawawezi kubeba mzigo wa ongezeko la bei kufidia uzembe wa menejiment ya Tanesco.
Mnadhani tanesco i polisi mnawapa magari bila mafuta?Nao pia huwalipisha wananchi ili kupata service.
 
BREAKING NEWS: MFANYAKAZI WA GAZETI LA CITIZEN ALIPWA KUICHAFUA SERIKALI KUHUSU KUPANDA KWA BEI ZA UMEME

Habari tulizozipata hivi punde zinaeleza kuwa wapo baadhi ya wafanyabiadhara na watumishi Wizara ya Nishati na Madini, na TANESCO ambao walitumbuliwa na Prof. Muhongo na hatimaye JPM kuridhia na kumtumbua MKURUGENZI wa TANESCO Eng. Mramba wamejipanga kuichafua Serikali ya JPM. Watu hao wamejipanga kwa kushirikiana na Magazeti ya Citizen na Mwananchi yenye Makao Kuu Kenya wameingia rasmi kwenye Ajenda na Vita ya Tariff ya umeme. Nia ni kulazimisha Serikali ikubali ombi la TANESCO na EWURA kupandisha bei ya umeme. Pia, Kuna Mwandishi mmoja wa Gazeti la Mwananchi ajulikanae kwa jina la Matandiko Mobile +255 716 186 074 amekuwa akiwapigia simu viongozi wa Serikali akidai ana taarifa muhimu za Serikali Kama vile barua nyeti za Wizara za Nishati & Madini, Wizara ya Fedha & Mipango, Benki ya Dunia akidai amepewa na TANESCO kuwa bei hizo ziliridhiwa na Benki ya Dunia, Mwandishi huyu ameeleza kuwa arazitoa taarifa hizo kwenye magazeti hayo. Ushauri wangu kwa Serikali hii ya JPM huyu Mtu ni wa kukamatwa na kutoa maelezo wapi amepata hizo taarifa na zina malengo gani kwa Serikali hii ya JPM ambayo sisi sote tunaiona ibafanya kazi karibu na Wananchi wake. Kama hizo taarifa ziliridhiwa na Benki ya Dunia je hao Tanesco walipeleka kwa Waziri wao? Je hicho Ndio kigezo kilichotumika wao kupewa mkopo na Benki ya Dunia, Je Kama ni kigezo ni kwa nini hawakupeleka bei hiyo kwa Waziri wao au kwa JPM? Tunajua huyu Mwandishi atakuwa amelipwa na watu ambao wanampiga vita JPM na watashindwa tu. Tunaviomba vyombo vya Dola vianze kazi ya kumfuatilia Mwandishi huyu, haya magazeti yaende Kuandika habari za uchochezi huko Kwao Kenya walikozoea kupigana. Hata wakileta hizo taarifa tubachojua sisi Wananchi walikataa bei hizo na tulimsikia Waziri wa Nishati na Madini mara kwa mara akieleza kuwa bei ya umeme haiwezi kupanda, hata alivyoulizwa na waandishi wa habari aliwambia kuwa anasubiri aletewe bei hiyo Ndio atoe maoni yake Kama Waziri Mwenye dhamana, na TANESCO kwa kushirikiana na EWURA wakaamua kutangaza bei hizo. Taarifa zinaeleza hata wakati EWURA wanaamua kutangaza bei Waziri mwenye dhamana na Naibu wake walikuwa ziara za Kikazi mikoani, viongozi wakuu wa nchi nao walikuwa ziara za Kikazi Nje ya DSM, tunachowauliza hawa EWURA nani alikuwa nyuma ya mchezo huo? Je walikuwa wanajiamini nini? Au walikuwa wanataka kumhombanisha na Wananchi wake ambao kimsingi bei hiyo waliikataa kila walipopita.

JPM piga kazi sisi vijana wako wa CCM Tupo nyuma yako tunakusaidia, watu Kama hawa wa magazeti ya Citizen na Mwananchi wasikunyime usingizi, vijana wako wanawafuatilia kwa karibu sana.
 
Back
Top Bottom