Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 200
kwa kuwa wengi wetu tutakuwa tukifuatilia kwa umakini kubwa mijadala ya bunge ili kuona nini kinafanywa na wabunge wetu, na kama ilivyo ada mchezo hunoga kama hata watazamaji wanazifahamu kanuni za mchezo.
Naambatanisha kanuni za kudumu bunge la jmahuri ya muungano wa tanzania ili tujijuze na tuweze kuwa na michango ya maana.
naomba kuwasilisha!!!!!!!!
Naambatanisha kanuni za kudumu bunge la jmahuri ya muungano wa tanzania ili tujijuze na tuweze kuwa na michango ya maana.
naomba kuwasilisha!!!!!!!!